Hata vitabu vya Mungu vimekataa kumjibu mpumbav Kwa hekima kwani ni sawa na kupoteza muda, jitu linakuja na SHUDU humu ndani Tena makusudi kabisa Sasa dawa ya midude kama hii ni kuibomoa kama siyo kuifumua na ujiuji kutoka septic tank ili akili ikae sawa, ni sawa na kichaa kashika fimbo anakuchapa halafu unataka kutumia busara utakwisha! Huyo kichaa mfumue ndoo ya mdomo uone kama hajakodi bodaboda ya asili. Yaani mkulima alime jua lake mvua yake pembejeo zimepanda watu wanamwangalia tu, lakini kavuna tayari watu ndo wanamuona na kutaka kuzuia pesa anayopata asiipate Sasa usinambie midude kama hii inahitaji busara la hasha ni kuyafumua za chembe ili tuheshimiane.