Ni wakati sasa kwa Serikali kuzuia uuzwaji wa mazao ya chakula nje ya nchi

Hata vitabu vya Mungu vimekataa kumjibu mpumbav Kwa hekima kwani ni sawa na kupoteza muda, jitu linakuja na SHUDU humu ndani Tena makusudi kabisa Sasa dawa ya midude kama hii ni kuibomoa kama siyo kuifumua na ujiuji kutoka septic tank ili akili ikae sawa, ni sawa na kichaa kashika fimbo anakuchapa halafu unataka kutumia busara utakwisha! Huyo kichaa mfumue ndoo ya mdomo uone kama hajakodi bodaboda ya asili. Yaani mkulima alime jua lake mvua yake pembejeo zimepanda watu wanamwangalia tu, lakini kavuna tayari watu ndo wanamuona na kutaka kuzuia pesa anayopata asiipate Sasa usinambie midude kama hii inahitaji busara la hasha ni kuyafumua za chembe ili tuheshimiane.
 
Kwahiyo nani alikukaririsha kwamba kuuza nje ya nchi ndio kuna faida zaidi kuliko hasara?
Ilihali baada ya muda utaanza kununu unga uliosindikwa kutoka huko ulikouza tena kwa bei ya juu zaidi. Use your common sense.
Don't try to be a fool!
 
Nibahati mbaya kwako kushikiwa akili unadhani wote tumeshikiwa acha wewe bwege magu mwenyewe alishindwa ndiomaana kunavichwa vilipigwa risasi 16 lakini kwampango wamungu ilishindikana mawazo yako nawehu wako nivyako siokwaote ukome kuleta sifa zakijinga humu unakera
 
Kwahiyo nani alikukaririsha kwamba kuuza nje ya nchi ndio kuna faida zaidi kuliko hasara?
Ilihali baada ya muda utaanza kununu unga uliosindikwa kutoka huko ulikouza tena kwa bei ya juu zaidi. Use your common sense.
Don't try to be a fool!

Njoo ulime kama huna majembe nitakuazima mshara kwa watumishi mmeongezewa ila boi wenu mkulima abaki pale licha ya kukosa mvua vizuri mbolea bei juu mazao anatoa shamba kwa gharama kubwa kutokana na mafuta kupanda jitathini kabla ya kuandika hata zana abazotumia niduni mno
 
Hata mbwiga naye anadai ana access na masoko ya South Sudan? Kichekesho!
 
Mahindi sasa hivi yamefikia kg Tzs 1800!serikali iendelee kulala tu
 
Umelewa pombe w.wakati mbolea iko juu mbona ulikuwa kimya??mnataka wakulima ambao ndo wengi wabaki madkini mbolea wanunue kwa bei juu halafu mazao Yao iwe bei Chee?nyambafu
 
Ulimshauri nani, utamshauri mkulima ambaye hukumsadia kulima pakuuza mazao ya?ke. Acheni kutumia makalio kufikiri. Rais jana aliwashauri wakulima waiuzie serikali hakuwazuia kuuza wanakotaka. Kiingereza hamwelewi hata Kiswahili? Ni aibu!
 
Mkulima na Mfanyabiashara wa Mazao ya chakula hawezi kuulewa huu uzi [emoji1]
 
Hakuna mazao yanayolimwa kwa ajili ya chakula tu we mzembe wa kufikiri. Hii classification ni ya kizamani Sana. Siku hizi kila kitu ni biashara kasoro mate na pumzi yako tu ndiyo bure. Imbecile !!
We ndiyo mzembe unatumia matako kufikiri. Mazao yote ni ya biashara labda km hujui maana ya biashara. Kuhusu chakula kila mtu ajiwekee akiba yake, hamwoni ht aibu mwenzako alime aweke akiba kwa ajili yako?
 
We ndiyo mzembe unatumia matako kufikiri. Mazao yote ni ya biashara labda km hujui maana ya biashara. Kuhusu chakula kila mtu ajiwekee akiba yake, hamwoni ht aibu mwenzako alime aweke akiba kwa ajili yako?
Nisome tena utanielewa. Maana naona unakula matapishi na kutapika tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…