Ni wakati sasa wa ama Che Malone au Inonga kusugua benchi

Ni wakati sasa wa ama Che Malone au Inonga kusugua benchi

Sambusa kavu

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2015
Posts
806
Reaction score
1,296
Narudia tena, hawa jamaa wawili hawawezi kucheza pamoja bila kuruhusu magoli.

Kwanza wanategeana, kila mmoja anataka kuwa wa mwisho.

Pili wote wanaumwa na kujiamini kupita kiasi, wanapenda kupanda mbele kwa ku dribble mipira matokeo yake wakipoteza tu mpira, basi ujue unahesabu kamba golini kwako.

Mechi ya jana ilimuhitaji beki kisiki hasa, beki asiependa misifa ya hovyo ya kuwafurahisha mashabiki, Kenedy Juma!

All in all, hawa wachezaji wa kigeni wote naona kama vile hawaelewi nini maana ya Derby.

Saidoo, Baleke, Inonga, Che Malone, Ngoma yaani mmepigwa 5 halafu bado mnacheka cheka tuu! Mara mnakumbatiana mara mnapiga story, aiseeee! Yaani 5 kwenye derby halafu bado unachukulia poa poa tuuu, hawakuona chozi la Shabalala, kapombe?

Derby ni Derby, inaumaaaaa balaaaaah. Kuna haja ya kuwaambia hawa wageni waahe ujinga wao wa kuona mechi ya Derby kama vile ni mechi ya kawaida tuu....tumewamaindiii!
 
Kati ya hao wawili waliolia kuna mmojawapo hafai hata kuwepo ktk bench la simba ni hiyo basi tu kwasababu mashabiki mnampenda na kocha anapanga kikosi kutokana na mashabiki na viongozi wa simba,ila ukiangalia mpira kiumakini sana japo simba ina mapungufu sehemu nyingi ila kapombe aiseee kasi ishamtupa mkono mkubaliane tu makolo..........BADO HAMJASEMA YANI MPAKA....🤣
 
The wall of biscuit 😂😂
20231106_095320.jpg
 
Kati ya hao wawili waliolia kuna mmojawapo hafai hata kuwepo ktk bench la simba ni hiyo basi tu kwasababu mashabiki mnampenda na kocha anapanga kikosi kutokana na mashabiki na viongozi wa simba,ila ukiangalia mpira kiumakini sana japo simba ina mapungufu sehemu nyingi ila kapombe aiseee kasi ishamtupa mkono mkubaliane tu makolo..........BADO HAMJASEMA YANI MPAKA....🤣
Mwenye magoli matano ya Hangar ni goli moja tu ambalo Kapombe hakuhusika ni lile la penalti tu.
 
Narudia tena, hawa jamaa wawili hawawezi kucheza pamoja bila kuruhusu magoli.

Kwanza wanategeana, kila mmoja anataka kuwa wa mwisho.

Pili wote wanaumwa na kujiamini kupita kiasi, wanapenda kupanda mbele kwa ku dribble mipira matokeo yake wakipoteza tu mpira, basi ujue unahesabu kamba golini kwako.

Mechi ya jana ilimuhitaji beki kisiki hasa, beki asiependa misifa ya hovyo ya kuwafurahisha mashabiki, Kenedy Juma!

All in all, hawa wachezaji wa kigeni wote naona kama vile hawaelewi nini maana ya Derby.

Saidoo, Baleke, Inonga, Che Malone, Ngoma yaani mmepigwa 5 halafu bado mnacheka cheka tuu! Mara mnakumbatiana mara mnapiga story, aiseeee! Yaani 5 kwenye derby halafu bado unachukulia poa poa tuuu, hawakuona chozi la Shabalala, kapombe?

Derby ni Derby, inaumaaaaa balaaaaah. Kuna haja ya kuwaambia hawa wageni waahe ujinga wao wa kuona mechi ya Derby kama vile ni mechi ya kawaida tuu....tumewamaindiii!
Kwaiyo ulitaka wajinyonge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BADO HUJASEMA.....

Tulieni wana simba.

Tafakarini tulipo kosea baada ya siku mbili mje na majibu.

Kwa sasa mtapiga kelele mtalia kila kilio na kumnyoshea kidole kila mtu.
Mkuu waletee ule uzi wako wa kipindi cha uchaguzi kudadeki zao
 
Back
Top Bottom