Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mkuu😂😂 tutamnunua vipi mtu ligi inaendelea na dirisha badoNdio shida yenu hii kupenda bure na kuokotaokota.
Wachezaji wananunuliwa kwa kuvunja mkataba.
We jamaa hujajiua tu mpaka leooo?YANII BADO HAMJASEMA, MPAKA MNYE MAVI MBUMBUMBU NYIE
hata wamchukue nani kazi bure mkuuWamchukue na Juma Shaban
Simba hawana kocha wa kupandisha wachezaji na kuwabadilisha wachezaji viwango , wachezaji wengi wabovu na bado hawana kocha wa kuwasaidia ,ayo unayosema anatakiwa kocha kwel ,, ukiifuatilia simba pamoja na kuwa na wachezaji wabovu pia hawana kochawa viungo wala kocha mkuu ndio maana hawabadilik ,,,, kipigo cha jana watasahau tu wanaendelea na yao , kila siku nasema kama simba wangekua watu wa kujifunza mechi ya south waliyopigwa nne ilionyesha mapungufu yao na nn wafanye ,wangeanzia pale saiz wangekua mbal , tatzo la simba na asa viongozi wabishi na wanaishi kwa historiaUko sahihi kabisa..Ila kwa maoni yangu ingewezekana kabisa Che Malon asogee juu atengenezwe acheze kiungo Cha ukabaji halafu Henonga a double na Kennedy ..