Ni wakati sasa wa kuhalalisha matumizi ya bangi

Ni wakati sasa wa kuhalalisha matumizi ya bangi

Kabla ya bangi tuanze na gongo kwanza kuhalalishwa.Ni kweli gongo ina madhara sana kwa sababu moja inatengenezwa kienyeji sasa kwenye ile process ya distillation kile kilevi kinachoitwa ethanol ambacho ndio kiko kwenye pombe zote kinakatiza na kilevi kingine kinaitwa methanol ambacho ni sumu kinamadhara makubwa kuua macho na mengine ndio maana serikali ikaingilia kati.
Sasa na sisi watanzania tungeweka vigezo watu watengeneze gongo wauzie serikali.Serikali sasa kitaalamu wanatoa hiyo methanol inabaki pombe yenyewe.
Uganda wao wanafanya hili ile gongo inauziwa serikali inatoa sumu ndio sasa wanaita Uganda Waragi.
Hata muheshimiwa Magufuli RIP alishagusia hii kitu kumbukeni muheshimiwa alikuwa mkemia.
 
ni wazo zuri tuwape kazi sua tmda na prof janabi wafanye research ya kiwango kitakacho faa for human consamption. then tukae na tcc watengeneze cyger maalum zenye viwango stahili cha bangi, kwenye uzalishaji tufanya controlled agriculture, walima bangi wawe na mashamba maalumu yenye kufuata taratibj zilizowekwa serikali.

tunayo mashamba ya mbegu haya yanaviwango na yanasimamiwa na wizara. tunaweza fanya pia kwa mashamba bhange. pia tunaweza zalisha bhange ya exports, sie hatuvuti bhange sawa kuna shida gani ikalimwa kwa ajili ya kuexport kwenda nchi za wavuta bangi.
 
ni wazo zuri tuwape kazi sua tmda na prof janabi wafanye research ya kiwango kitakacho faa for human consamption. then tukae na tcc watengeneze cyger maalum zenye viwango stahili cha bangi, kwenye uzalishaji tufanya controlled agriculture, walima bangi wawe na mashamba maalumu yenye kufuata taratibj zilizowekwa serikali.

tunayo mashamba ya mbegu haya yanaviwango na yanasimamiwa na wizara. tunaweza fanya pia kwa mashamba bhange. pia tunaweza zalisha bhange ya exports, sie hatuvuti bhange sawa kuna shida gani ikalimwa kwa ajili ya kuexport kwenda nchi za wavuta bangi.
Bila kusahau kuanzisha cafe za kuvutia
 
Back
Top Bottom