Ni wakati sasa wa kujenga sanamu la Magufuli. Tukubaliane kama nchi tulijenge wapi?

Ni wakati sasa wa kujenga sanamu la Magufuli. Tukubaliane kama nchi tulijenge wapi?

sonofobia

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,171
Reaction score
4,295
Kwa kuwa Magufuli ameacha alama baada ya kifo chake na Africa inaendelea kumuenzi kwa namna alivyotutoa kimasomaso.

Watanzania wengi wameomba lijengwe sanamu la Magufuli iwe kama alama ya kumbukumbu ya kihistoria kwa Africa, ili watu kutoka mataifa mbalimbali duniani waje kumuenzi na kupiga picha za kumbukumbu.

Tuisaidie serikali, sanamu lijengwe wapi?

Mimi nashauri lijengwe Ubungo pale ilipokuwa stend badala ya kuwapa mafisadi eneo lile pawekwe mnara mkubwa wenye sura ya Magufuli na garden yenye muonekano wa kiafrica.
 
Hapana meku, nafikiri likikaa sehemu moja ni rahisi zaidi.

Sanamu la Magufuli litaleta watalii mara million kuliko ile uhuni ya royal tour.

..sawa.

..mimi nilikuwa natoa ushauri tu.

..Kaburi lipo na ni sawa na monument.

..sasa tukitaka Watz nchi nzima washiriki kumuenzi Jpm tunapaswa tukimbize sanamu yake pamoja na mwenge wa uhuru.
 
Kwa kuwa Magufuli ameacha alama baada ya kifo chake na Africa inaendelea kumuenzi kwa namna alivyotutoa kimasomaso.

Watanzania wengi wameomba lijengwe sanamu la Magufuli iwe kama alama ya kumbukumbu ya kihistoria kwa Africa, ili watu kutoka mataifa mbalimbali duniani waje kumuenzi na kupiga picha za kumbukumbu.

Tuisaidie serikali, sanamu lijengwe wapi?

Mimi nashauri lijengwe Ubungo pale ilipokuwa stend badala ya kuwapa mafisadi eneo lile pawekwe mnara mkubwa wenye sura ya Magufuli na garden yenye muonekano wa kiafrica.
Kijenge kwenye maungo ya mmeo
 
Eneo zuri la kujenga sanamu la magu..ni njia zote za mipaka ya kuingilia hii nchi..ikulu ya magogoni na mji wa serikali..pia mwanza bila kusahau chato na kigoma kwa akina zito kabwe kule mwadiga.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wewe dogo kuwa na heshima basi, hapa tunaongelea mambo muhimu ya nchi hapa tunamuongelea icon wa uzalendo kwenye nchi na mtetezi wa wanyonge
Icon wa uzalendo gani? Wa kuua , kupiga risasi na kuteka watu?

Au hujui maana ya uzalendo?

Nimekwambia kamjengee iyo sanamu chooni kwako mpuuzi wewe!
 
Kwa kuwa Magufuli ameacha alama baada ya kifo chake na Africa inaendelea kumuenzi kwa namna alivyotutoa kimasomaso.

Watanzania wengi wameomba lijengwe sanamu la Magufuli iwe kama alama ya kumbukumbu ya kihistoria kwa Africa, ili watu kutoka mataifa mbalimbali duniani waje kumuenzi na kupiga picha za kumbukumbu.

Tuisaidie serikali, sanamu lijengwe wapi?

Mimi nashauri lijengwe Ubungo pale ilipokuwa stend badala ya kuwapa mafisadi eneo lile pawekwe mnara mkubwa wenye sura ya Magufuli na garden yenye muonekano wa kiafrica.
Legacy
 
Assad kama jina lake alikuwa anapenyeza siasa zake za mwandiga kwa shujaa wetu bahati mbaya hachafuki.

Genge la wahuni wa Chadema na Hangaya ni nembo ya ufisadi.
Endelea kuota!

Jiandae kurudi kwenu Burundi
 
Kwa kuwa Magufuli ameacha alama baada ya kifo chake na Africa inaendelea kumuenzi kwa namna alivyotutoa kimasomaso.

Watanzania wengi wameomba lijengwe sanamu la Magufuli iwe kama alama ya kumbukumbu ya kihistoria kwa Africa, ili watu kutoka mataifa mbalimbali duniani waje kumuenzi na kupiga picha za kumbukumbu.

Tuisaidie serikali, sanamu lijengwe wapi?

Mimi nashauri lijengwe Ubungo pale ilipokuwa stend badala ya kuwapa mafisadi eneo lile pawekwe mnara mkubwa wenye sura ya Magufuli na garden yenye muonekano wa kiafrica.
Nn faida ya sanamu?
 
Back
Top Bottom