econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Wezi,wauaji, wafanya mapenzi yaejinsia moja wapo pale ufipa na kule msoga
Nyie jifanyeni vichaa wakati mnaakili nzuri tu. Mapenzi ya jinsia moja alikuwa anafanya makonda kamuulize. Halafu muuaji namba moja alikuwa Magufuli na mwizi namba moja alikuwa Magufuli trilioni 1.5 mpaka Leo hazijulikani zipo wapi. Sijui CCM ilimtoa wapi yule mtu utadhani hakuwa mtanzania.