Hapana meku, nafikiri likikaa sehemu moja ni rahisi zaidi.
Sanamu la Magufuli litaleta watalii mara million kuliko ile uhuni ya royal tour.
Kijenge kwenye maungo ya mmeoKwa kuwa Magufuli ameacha alama baada ya kifo chake na Africa inaendelea kumuenzi kwa namna alivyotutoa kimasomaso.
Watanzania wengi wameomba lijengwe sanamu la Magufuli iwe kama alama ya kumbukumbu ya kihistoria kwa Africa, ili watu kutoka mataifa mbalimbali duniani waje kumuenzi na kupiga picha za kumbukumbu.
Tuisaidie serikali, sanamu lijengwe wapi?
Mimi nashauri lijengwe Ubungo pale ilipokuwa stend badala ya kuwapa mafisadi eneo lile pawekwe mnara mkubwa wenye sura ya Magufuli na garden yenye muonekano wa kiafrica.
Fala mkubwa, tujenge sanamu ya mwizi , fisadi, katili na muuaji?!Wewe kipoozeo wa mdude kuwa na adabu
SukumagangMajambazi wakubwa hii nchi wapo msoga na ufipa
Icon wa uzalendo gani? Wa kuua , kupiga risasi na kuteka watu?Wewe dogo kuwa na heshima basi, hapa tunaongelea mambo muhimu ya nchi hapa tunamuongelea icon wa uzalendo kwenye nchi na mtetezi wa wanyonge
Wezi wa Trilion 1.5 aliyosema CAG Assad? Au wezi gani?Wezi,wauaji, wafanya mapenzi yaejinsia moja wapo pale ufipa na kule msoga
LegacyKwa kuwa Magufuli ameacha alama baada ya kifo chake na Africa inaendelea kumuenzi kwa namna alivyotutoa kimasomaso.
Watanzania wengi wameomba lijengwe sanamu la Magufuli iwe kama alama ya kumbukumbu ya kihistoria kwa Africa, ili watu kutoka mataifa mbalimbali duniani waje kumuenzi na kupiga picha za kumbukumbu.
Tuisaidie serikali, sanamu lijengwe wapi?
Mimi nashauri lijengwe Ubungo pale ilipokuwa stend badala ya kuwapa mafisadi eneo lile pawekwe mnara mkubwa wenye sura ya Magufuli na garden yenye muonekano wa kiafrica.
Hii CD imeshachuja, na ndivyo Me toka mtaa wa kiumeni tulivyokubaliana kwenye kikao.Vile mwendakuzimu amefurahia uzi wako huu kutokea huko kuzimu[emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2193015
Endelea kuota!Assad kama jina lake alikuwa anapenyeza siasa zake za mwandiga kwa shujaa wetu bahati mbaya hachafuki.
Genge la wahuni wa Chadema na Hangaya ni nembo ya ufisadi.
Mbona wewe hukuuwawa CHAWA wa mfumo wa sasa A.K.A PANYA BUKU WAAA [emoji848][emoji19]Fala mkubwa, tujenge sanamu ya mwizi , fisadi, katili na muuaji?!
Nn faida ya sanamu?Kwa kuwa Magufuli ameacha alama baada ya kifo chake na Africa inaendelea kumuenzi kwa namna alivyotutoa kimasomaso.
Watanzania wengi wameomba lijengwe sanamu la Magufuli iwe kama alama ya kumbukumbu ya kihistoria kwa Africa, ili watu kutoka mataifa mbalimbali duniani waje kumuenzi na kupiga picha za kumbukumbu.
Tuisaidie serikali, sanamu lijengwe wapi?
Mimi nashauri lijengwe Ubungo pale ilipokuwa stend badala ya kuwapa mafisadi eneo lile pawekwe mnara mkubwa wenye sura ya Magufuli na garden yenye muonekano wa kiafrica.
Yeye hakuuwawa Ila Ben Saanane aliuawa na Lwabaje waliuawaMbona wewe hukuuwawa CHAWA wa mfumo wa sasa A.K.A PANYA BUKU WAAA [emoji848][emoji19]