nasrimgambo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2017
- 1,902
- 2,488
Marlaw mkewe mwenyewe ni besta ambaye alikuwa msanii maarufu, kwa marlaw nadhani alikuwa na plani tofauti za kimaisha mbali na mziki ila kupotea ktk gemu msiseme kisa ni ndoa yake
Halafu kiba alipotea kwenye gemu kipindi mama wa mtoto wake walipoacha ilibidi aache mziki alee mwanae
Halafu kiba alipotea kwenye gemu kipindi mama wa mtoto wake walipoacha ilibidi aache mziki alee mwanae