Kutokana na wingi wa watu wanaokaa na kutembelea Kigamboni pamoja na shida ya usafiri kuelekea na kutokea Kigamboni ni wakati sasa wa serikali kufanya maamuzi magumu ya kuruhusu vyombo vya usafiri vipite bila tozo zozote ili kurahisisha huduma za usafiri.
Kwa tabu ambayo wanachi wanapata sasa ya kuvuka kwa foleni kubwa na kusubiri kwa sababu ya kulipia tozo, hakika umefika wakati serikali ilifikirie suala la kuacha kukusanye pesa ya kivuko. Ninaamini wananchi wengi sana wataongeza imani na serikali kwa kusamehe gharama za kivuko.
Note:
Kigamboni vivuko vinasumbua sana kwani vinachelewa kuja na vingi vinahitaji matengenezo watu wengi wanapanda ila roho juu sanaaaa, daraja ni mkombozi kwa mwananchi
Kwa tabu ambayo wanachi wanapata sasa ya kuvuka kwa foleni kubwa na kusubiri kwa sababu ya kulipia tozo, hakika umefika wakati serikali ilifikirie suala la kuacha kukusanye pesa ya kivuko. Ninaamini wananchi wengi sana wataongeza imani na serikali kwa kusamehe gharama za kivuko.
Note:
Kigamboni vivuko vinasumbua sana kwani vinachelewa kuja na vingi vinahitaji matengenezo watu wengi wanapanda ila roho juu sanaaaa, daraja ni mkombozi kwa mwananchi