MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Usije kulalamika ukisikia tozo fulani imeanzishwaNaunga mkono hoja, Serikali ibebe hilo Jukumu la kulipa DENI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usije kulalamika ukisikia tozo fulani imeanzishwaNaunga mkono hoja, Serikali ibebe hilo Jukumu la kulipa DENI
Limejengwa na pesa za waastafu."daraja limejengwa kwa pesa za wananchi maskini, na hao wananchi maskini wanalipia ili kupita kwenye daraja hilo" kweli hiki ni kichwa cha mwendawazimu.
Huo ndio ukweli.Na gharama yake bilioni za shilingi za kitanzania 337 hadi sasa wamekusanya jumla kubwa ya bilioni 83 tu tangu 2016, bado mwendo mrefu labda miaka karibuni 8 ijayo kwa mahesabu mtaji wa NSSF utakuwa umelipa.
Kigamboni waoneshe uzalendo hadi 2040 NSSF watakuwa wamerejesha gharama za uwekezaji
Pesa za NSSF siyo za Serikali.Mkuu taasisi hiyo ni ya binafsi au ya serikali??? Kama ni ya serikali inakuwaje hela yake isiwe ya serikali???
🤣 🤣 🤣Pesa za NSSF siyo za Serikali.
Kama daraja limerudisha pesa iliyotumika kujengea hakuna haja ya kulipiaKutokana na wingi wa watu wanaokaa na kutembelea Kigamboni pamoja na shida ya usafiri kuelekea na kutokea Kigamboni ni wakati sasa wa serikali kufanya maamuzi magumu ya kuruhusu vyombo vya usafiri vipite bila tozo zozote ili kurahisisha huduma za usafiri.
Kwa tabu ambayo wanachi wanapata sasa ya kuvuka kwa foleni kubwa na kusubiri kwa sababu ya kulipia tozo, hakika umefika wakati serikali ilifikirie suala la kuacha kukusanye pesa ya kivuko. Ninaamini wananchi wengi sana wataongeza imani na serikali kwa kusamehe gharama za kivuko.
Note:
Kigamboni vivuko vinasumbua sana kwani vinachelewa kuja na vingi vinahitaji matengenezo watu wengi wanapanda ila roho juu sanaaaa, daraja ni mkombozi kwa mwananchi
Inawezekana,wakipunguza kununua ndege ,magari ya kifahari + kudhibiti ufisadi..Usije kulalamika ukisikia tozo fulani imeanzishwa
Hayo mengine uliyotaja ni porojo. Cha muhimu ni kuwa daraja limejengwa kwa michango ya wanachama wa NSSF na zinatakiwa zirudi.Inawezekana,wakipunguza kununua ndege ,magari ya kifahari + kudhibiti ufisadi..
"daraja limejengwa kwa pesa za wananchi maskini, na hao wananchi maskini wanalipia ili kupita kwenye daraja hilo" kweli hiki ni kichwa cha mwendawazimu.
Kwa hiyo wa daraja la Tanzanite(maana nalo ni mkopo Wakorea) nalo lilipiwe?...Hayo mengine uliyotaja ni porojo. Cha muhimu ni kuwa daraja limejengwa kwa michango ya wanachama wa NSSF na zinatakiwa zirudi.
Richard unaelewa nini watu wanachosemea? Mbona daraja la Wami hakuna hayo mambo.Mbali ya kuachia foleni lakini pia garama za kulipia kwani Kuishi kigamboni ndiyo iwe mateso kutoka na kurudi? Tanzanite mbona hakuna malipo? Nafikiri ni wakati muafaka wananchi wa Kigamboni nao wapate unafuu sasa katika kulipa maana ni Kigamboni pekee ndiyo watu wanalipa, Unasema sijui walipe kwa simu ishu siyo kulipa kwa njia ipi ishu garama za masiha na bado kulipia ndiyo kazi.Mbona kuna miradi mingi inalipwa na kodi na wananchi hawajalalamika sababu wanajua kulipa indirect.Hilo daraja ni muhimu sana kwa uchumi wa nchi na pia kwa mji wa Kigamboni.
Usimamizi ukiwa mbovu ndo kwachochea upigaji na hiyo fedha hutaiona.
Kigamboni ndo walipaswa kusimamia daraja hilo kwa kuhakikisha fedha zinopatikana baada ya kulipa kodi fedha yatumika kuboresha daraja, kununua mitambo ya kuruhusu magari kupita baada ya kulipa na kulipa mishahara wasimamizi wa daraja hilo.
Pia wananchi waweza kulipia moja kwa moja kwa kutumia simu au kadi zao za benki hivyo kuruhusiwa na mitambo kupita hapo hivyo kurahisisha "traffic".
Hakuna nchi yoyote duniani yenye daraja kama hilo la Kigamboni ambalo magari yapita bure bila kulipa tozo angalau kiasi fulani.
Cha msingi ni usimamizi mzuri (management) na kuhakikisha daraja halizami baada ya kubomoka au kubomolewa.
Tozo yaweza kuwa "monitored" kulingana na idadi ya magari yapitayo kwa kuweka kitu chaitwa "footfall" ambayo itakwambia ni kiasi gani cha tozo ukadirie.
Daraja lilijengwa kwa pesa za mifuko ya wafanyakazi. Wakishakusanya Chao ni halali lirudishwe serikalini. Au serikali ifidie kilichobaki ipitishe wananchi wake bure"daraja limejengwa kwa pesa za wananchi maskini, na hao wananchi maskini wanalipia ili kupita kwenye daraja hilo" kweli hiki ni kichwa cha mwendawazimu.
Acha kulazimisha watu waamini ujinga wako. Unatoa mfano usioendana na mada. Nchi haiendeshwi kwa huruma bali sheria.Kwa hiyo wa daraja la Tanzanite(maana nalo ni mkopo Wakorea) nalo lilipiwe?...
Najua hutaki tu kukubali ,hilo jina linakutia UPOFU ila Serikali ikiamua kubeba huo MKOPO Inawezekana, nimekupa nini cha kufanya
ILA ni SUALA la Muda, tu,WanaKigamboni sio WAJINGA na wahaki ya kupata KEKI hata kidogo ya huyu Mama Tanzania
Wewe ni WAKUKUPUUZA tu...hujielewi! Nampa POLE huyo mmeoAcha kulazimisha watu waamini ujinga wako. Unatoa mfano usioendana na mada. Nchi haiendeshwi kwa huruma bali sheria.
Hapana. Mimi ni baba yako halisi. Muulize vizuri mama yako kuhusu baba yako halisi.Wewe ni WAKUKUPUUZA tu...hujielewi! Nampa POLE huyo mmeo
Wapite bure kwani ni la serikali...pale wamewekeza watuKutokana na wingi wa watu wanaokaa na kutembelea Kigamboni pamoja na shida ya usafiri kuelekea na kutokea Kigamboni ni wakati sasa wa serikali kufanya maamuzi magumu ya kuruhusu vyombo vya usafiri vipite bila tozo zozote ili kurahisisha huduma za usafiri.
Kwa tabu ambayo wanachi wanapata sasa ya kuvuka kwa foleni kubwa na kusubiri kwa sababu ya kulipia tozo, hakika umefika wakati serikali ilifikirie suala la kuacha kukusanye pesa ya kivuko. Ninaamini wananchi wengi sana wataongeza imani na serikali kwa kusamehe gharama za kivuko.
Note:
Kigamboni vivuko vinasumbua sana kwani vinachelewa kuja na vingi vinahitaji matengenezo watu wengi wanapanda ila roho juu sanaaaa, daraja ni mkombozi kwa mwananchi