Ni wakati wa kumpa credit zake Baraka Mpenja

Ni wakati wa kumpa credit zake Baraka Mpenja

'Emanuel mvyekule aamuwekea Habib Haji Kyombo anamwambia mwanangu chukua hio, Habib Haji Kyombooo
happy new year, happy new year wasukuma wanasema waveja kulumpa waveja kulumpa'
alinikosha sana siku hii vyura wanakufa kwa Mbao kirumba
 
Huelewi chochote wewe ji.nga sana. Mie nimem quote mtu mwingine unajipendekeza. Fuatilia niliye mquote then utagundua wewe ni fa.la.
Limbukeni tuu wewe huna lolote kafie mbele huko acha kujipendekeza utaliwa tigo kavu kavu we manina zako.
 
Hakuna kitu... Wakati mwingine huwa anaongea maneno hata hayana maana. Ya kijinga kijinga tu. Hata ukimuuliza uhusiano wa maneno hayo na kinachotangazwa hawezi elezea. Ana utoto mwingi binafsi huwa sipend msikiliza. Na mute ili niangalie pambano kwa raha
 
Hakuna kitu... Wakati mwingine huwa anaongea maneno hata hayana maana. Ya kijinga kijinga tu. Hata ukimuuliza uhusiano wa maneno hayo na kinachotangazwa hawezi elezea. Ana utoto mwingi binafsi huwa sipend msikiliza. Na mute ili niangalie pambano kwa raha
Hahaaa umezidi chuki asee. Upo radhi uangalie kisailensa kuliko kumsikiliza jamaa
 
Peter drury na kina Jim Beglin wale ni level nyingine

Professionalism ni muhimu
Kuna muda hayo maneno yanazidi na kukera sana. Awe professional aache uswahili mwingi. Ndio kutia chumvi mda mwingine sio mbaya ila ikizidi inakuwa kero sana sasa.

Nawashauri ma commentator wa kibongo wawasikilize akina Peter Drury watajifunza namna ya kuwa ma pro.

Still a learner though.
 
Huyo ukitaka umuelewe vizuri awe anatangaza mechi ya Simba au Mbao dhidi ya Yanga halafu Yanga wafungwe goli! Utamsikia what a goal! fantastic! bla bla nyingiii! Nahisi ni mshabiki wa mbumbumbu fc kama sikosei! Mimi simpi credit kwakweli.
Chura mna gubuuu! Daaaah usimpe kuna kitu kitapungua kwake kwani?? Hizi roho mbaya za kikongomani walah!
 
Hakuna kitu... Wakati mwingine huwa anaongea maneno hata hayana maana. Ya kijinga kijinga tu. Hata ukimuuliza uhusiano wa maneno hayo na kinachotangazwa hawezi elezea. Ana utoto mwingi binafsi huwa sipend msikiliza. Na mute ili niangalie pambano kwa raha
Gubuuu Tu linakusumbua bibiee
 
Back
Top Bottom