Ni wakati wa kumpa credit zake Baraka Mpenja

Ni wakati wa kumpa credit zake Baraka Mpenja

Tena maneno yake huwa hayana hata maana... Ya kuropoka tu. Utoto mwingi na ushamba binafsi huwa napenda anavyotangaza Bwigane.


Kuna muda hayo maneno yanazidi na kukera sana. Awe professional aache uswahili mwingi. Ndio kutia chumvi mda mwingine sio mbaya ila ikizidi inakuwa kero sana sasa.

Nawashauri ma commentator wa kibongo wawasikilize akina Peter Drury watajifunza namna ya kuwa ma pro.

Still a learner though.
 
Tusisubiri mpaka mtu afe ndio tumpe sifa.

Kwa heshima na taadhima, leo nimeona tumpe sifa zake mtangazaji bora wa mpira hapa Tanzania kwa upande wa televisheni, ndugu Baraka Hudson Mpenja wa Azam Tv.

Huyu jamaa ni mbunifu sana, ana matumizi ya maneno yake flani flani hivi ambayo huleta ladha pale unapofatilia hizi mechi zetu za kibongo. Hakika kwa wafatiliaji wa mpira wa kibongo watakuwa wanaelewa nazungumzia nini!

Kwasasa Baraka Mpenja ndio anaifanya Azam Tv iendelee kuwa juu katika mechi za kibongo, na amechochea watu wengi kufatilia ligi ya bongo, ni wakati sasa wa Azam Tv kumleta Mwl Kashasha ili awe mchambuzi kando ya utangazaji wa Mpenja.

Hongera sana, Baraka Mpenja endelea kutupa burudani kwa karama yako kubwa uliyopewa na Mungu.
Ni kweli anastahili pongezi,tuzo na zawadi kemkem
 
Tatizo lako wewe na utopolo ni wataalamu wa kulalamika kama demu mwenye mimba.
Ulitaka asifie nini kama pira lenyewe gimbi?
Huyo ukitaka umuelewe vizuri awe anatangaza mechi ya Simba au Mbao dhidi ya Yanga halafu Yanga wafungwe goli! Utamsikia what a goal! fantastic! bla bla nyingiii! Nahisi ni mshabiki wa mbumbumbu fc kama sikosei! Mimi simpi credit kwakweli.
 

Attachments

  • 2596450_IMG-20201021-WA0012.jpg
    2596450_IMG-20201021-WA0012.jpg
    26 KB · Views: 2
Hivi huyu Mwamba ndiye aliyetangaza goli la Kipenseli akimfunga Manula kwenye ligi ya 2019/2020? Kama ndiye basi anajua kukera watu!
Huyo jamaa kama matokeo hayupo up and wako unaeza mchukia...maana sneakers kweli ndo maana kuna watu wanachukulia maneno yake personally na wanamchukia kabisa yaani
 
Back
Top Bottom