Sawa😏Naona kama upo swimming pool pembeni ya gorofa ukiogelea kuvusha viongozi wapya
Limbukeni tuu wewe huna lolote kafie mbele huko acha kujipendekeza utaliwa tigo kavu kavu we manina zako.Huelewi chochote wewe ji.nga sana. Mie nimem quote mtu mwingine unajipendekeza. Fuatilia niliye mquote then utagundua wewe ni fa.la.
Hahaaa umezidi chuki asee. Upo radhi uangalie kisailensa kuliko kumsikiliza jamaaHakuna kitu... Wakati mwingine huwa anaongea maneno hata hayana maana. Ya kijinga kijinga tu. Hata ukimuuliza uhusiano wa maneno hayo na kinachotangazwa hawezi elezea. Ana utoto mwingi binafsi huwa sipend msikiliza. Na mute ili niangalie pambano kwa raha
Acha chuki mtanzaniaHakuna kitu... Wakati mwingine huwa anaongea maneno hata hayana maana. Ya kijinga kijinga tu. Hata ukimuuliza uhusiano wa maneno hayo na kinachotangazwa hawezi elezea. Ana utoto mwingi binafsi huwa sipend msikiliza. Na mute ili niangalie pambano kwa raha
Kuna muda hayo maneno yanazidi na kukera sana. Awe professional aache uswahili mwingi. Ndio kutia chumvi mda mwingine sio mbaya ila ikizidi inakuwa kero sana sasa.
Nawashauri ma commentator wa kibongo wawasikilize akina Peter Drury watajifunza namna ya kuwa ma pro.
Still a learner though.
Yeye anayadaka tu mtaani..mfano kipindi RC Tabora alivyokuwa anatrend na misemo yakeNafikiri huyu mtangazaji ndie muasisi wa usemi "KUNA WATU WANATESEKA "
Kuna tatizo akifanya hivyo?na yeye anakiri hivyoYeye anayadaka tu mtaani..mfano kipindi RC Tabora alivyokuwa anatrend na misemo yake
Chura mna gubuuu! Daaaah usimpe kuna kitu kitapungua kwake kwani?? Hizi roho mbaya za kikongomani walah!Huyo ukitaka umuelewe vizuri awe anatangaza mechi ya Simba au Mbao dhidi ya Yanga halafu Yanga wafungwe goli! Utamsikia what a goal! fantastic! bla bla nyingiii! Nahisi ni mshabiki wa mbumbumbu fc kama sikosei! Mimi simpi credit kwakweli.
Gubuuu Tu linakusumbua bibieeHakuna kitu... Wakati mwingine huwa anaongea maneno hata hayana maana. Ya kijinga kijinga tu. Hata ukimuuliza uhusiano wa maneno hayo na kinachotangazwa hawezi elezea. Ana utoto mwingi binafsi huwa sipend msikiliza. Na mute ili niangalie pambano kwa raha
Gubuuu Tu linakusumbua bibiee
Sio vibaya..na sijasema hivyo in a negative wayKuna tatizo akifanya hivyo?na yeye anakiri hivyo
Acha chuki mtanzania