Acha kutumia makalio kufikiri.
#kataawahuniKwa wana CCM wasio na “baba walezi” kataeni matabaka kwenye Chama chetu maana ndio msingi wa Usawa wa Binadamu ambayo ni Imani ya Kwanza ya Chama chetu na wanachama. Matabaka ni mbinu moja ya wahuni kukidhoofisha Chama chetu kwa maslahi yao, tuikatae tabia hiyo #kataawahuni https://t.co/OTfUzClc2BView attachment 2041035
Ukishakiri huna baba mlezi ujue utapitia mengi. Utakula chakula kisicho na chumvi,maziwa utachanganyiwa na maji wakati wa kula huku wenye baba wakipewa maziwa halisi. Itabidi uvumilie mana alipokuwepo baba mlezi nawe ulitesa Sasa na wenzio ni wakati wao wanaye baba mlezi.Kwa wana CCM wasio na “baba walezi” kataeni matabaka kwenye Chama chetu maana ndio msingi wa Usawa wa Binadamu ambayo ni Imani ya Kwanza ya Chama chetu na wanachama. Matabaka ni mbinu moja ya wahuni kukidhoofisha Chama chetu kwa maslahi yao, tuikatae tabia hiyo #kataawahuni https://t.co/OTfUzClc2BView attachment 2041035