DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Sasa mkuu unaniuliza mimi au unauliza waliomteua?Comment ya kijinga kuliko zote hii. Kwahiyo wakati wanamteua Samia kuwa Makamu hawakujua kuwa kikatiba makamu ni mtu mwenye majukumu gani kikatiba?
Sasa mkuu unaniuliza mimi au unauliza waliomteua?Sio sababu ya kutofuata katiba, alikuwa makamu wa raisi una maana gani ilikuwa nafasi kubwa, dharau za kishamba sana
Maisha ni siasa, hivyo kama unaishi unafanya siasa na kila mmoja ni mwanasisaTatizo la Tanzania kila kada inaongea kama Wanasiasa
Kwahiyo walitaka kuvunja katiba wazi wazi? Maana katiba ipo very clear anayepaswa kuapishwa kama Rais ni Makamu wa Rais.Kiuhalisia Hiyo nafasi ilikuwa kubwa sana kwa Samia ukizingatia ndo ilikuwa mara ya kwanza kuwa na Rais Asiyechaguliwa na wananchi wala Bunge..
Hivyo iliwawia Vigumu kukubali kwa sababu waliamini lazima tu ataharibu
Yeah ni Ukweli kabisa walitaka kuvunja katiba kama ukimsikia Mabeyo anasema kuwa "viongozi walisahau kidogo katiba imasemaje"..Kwahiyo walitaka kuvunja katiba wazi wazi? Maana katiba ipo very clear anayepaswa kuapishwa kama Rais ni Makamu wa Rais.
Rais Samia amedhihirisha ni mtu wa kariba ya uongozi na mvumilivu mno.Yeah ni Ukweli kabisa walitaka kuvunja katiba kama ukimsikia Mabeyo anasema kuwa "viongozi walisahau kidogo katiba imasemaje"..
Lakini kiuhalisia Huwezi ukaniambia Upo kwenye Ofisi ya uongozi kwa muda mrefu uje na excuse ya kuwa nilisahau katiba Thats Treason (hii ni kesi ya uhaini")
Yeye anaweza akawasamehe ila sure I am telling you!Rais Samia amedhihirisha ni mtu wa kariba ya uongozi na mvumilivu mno.
Ingekuwa ni Rais mwingine ametendewa haya sahizi wote waliohusika wangekuwa aidha jela ama makaburini kwa kutenda uhaini.
Yaani mtu unapata watu ujasiri wa kutaka kupindisha katiba ya nchi?
Anyways, Rais Samia wasamehe tu hao waliokuwa wanakula njama za kipuuzi kwa ulafi tu wa madaraka.
Maisha siyo siasa ila siasa ni sehemu tu ya maishaMaisha ni siasa, hivyo kama unaishi unafanya siasa na kila mmoja ni mwanasisa
Sasa kati ya MAGU na SAMIA nani kahiaribu nchi zaidi....MAGU mjinga kauwa sekta binafsi kwa ujinga wakeKiuhalisia Hiyo nafasi ilikuwa kubwa sana kwa Samia ukizingatia ndo ilikuwa mara ya kwanza kuwa na Rais Asiyechaguliwa na wananchi wala Bunge..
Hivyo iliwawia Vigumu kukubali kwa sababu waliamini lazima tu ataharibu
Marehemu hasemwi kakaSasa kati ya MAGU na SAMIA nani kahiaribu nchi zaidi....MAGU mjinga kauwa sekta binafsi kwa ujinga wake
Kama asingesimama imara? Kwani alikuwa peke yake?Awali akina Lissu waliwahi kusema kuna watu walitaka SSH asiapishwe kama Rais wa Tanzania. Lakini katika mahojiano yake hakuna Sehemu Jaji Mkuu wala Spika anatajwa kushiriki mashauriano ya kumwapisha Mhe. Samia.
Kwa kauli ya CDF Mabeyo ni kweli kwamba wapo watu walitaka asiapishwe kama Rais huku ikiipelekea nchi kukaa siku mbili bila Rais
Naomba kufahamu hao waliotaka asiapishwe ni wakina nani? Walitaka nani awe Rais? Kwa katiba ipi? Haiwezekani hao hao leo ndio Chawa wa mama? Wamebadili mawazo yao au wanasubiri kupambazuke?
Kwani kuna Kada inayolamba asali ambayo sio mwanaccm?Tatizo la Tanzania kila kada inaongea kama Wanasiasa
Dotto James, Bashiru, Polepole na Kabudi pamoja na MangulaAwali akina Lissu waliwahi kusema kuna watu walitaka SSH asiapishwe kama Rais wa Tanzania. Lakini katika mahojiano yake hakuna Sehemu Jaji Mkuu wala Spika anatajwa kushiriki mashauriano ya kumwapisha Mhe. Samia.
Kwa kauli ya CDF Mabeyo ni kweli kwamba wapo watu walitaka asiapishwe kama Rais huku ikiipelekea nchi kukaa siku mbili bila Rais
Naomba kufahamu hao waliotaka asiapishwe ni wakina nani? Walitaka nani awe Rais? Kwa katiba ipi? Haiwezekani hao hao leo ndio Chawa wa mama? Wamebadili mawazo yao au wanasubiri kupambazuke?
Ulikuwepo Mkuu?Dotto James, Bashiru, Polepole na Kabudi pamoja na Mangula
Mkuu,Wasiojulikana, ndio maana ni ngumu sana maza kutoboa 2025. Yupo pale kwa hisani ya jeshi kulinda katiba, hisani hiyo ina expire 2025.
Km yepi ? Acha chuki za kujingaMbona kwa aliyoyafanya samia ni wazi kuwa walikuwa sahihi sana.
Ila km ni kweli hawa w2 ni khatari sana sidhani km hawakujua wanachotka kufanya ili walitka kupima upepoMchezo huo ulisimamiwa na BASHIRU wakishirikiana na Katelephone, Subwoofer, wakisaidiwa na dokta wa magu Prof Michembe lengo ilikuwa kumpa Eng Chamliho kuwa rais wa mpito Ili wapate utulivu wapange rais ajae Ndipo Mabeyo akaingilia kati Kwa kumchukua Dr bingwa wa Moyo kutoka JWna kwenda naye hospitali ya mzena alikokuwa amelazwa na kukuta bwana alitoa na bwana ametwaa ndipo akachukua hatua kama CDF kulingana na katiba.
Mabeyo aliingizwa mkenge na Msoga gang, plan yao ikafanikiwa kiulainiIle company nilikuwa Kabudi, Chamuhiro, Bashiru, Polepole, Lukuvi, Ndugai, Majaliwa , na Kalemani ...
Wakakutana na mziki wa watu watatu tuu ... General Mwamunyange, CDF Mabeyo na Jakaya Kikwete ...
Watu wangefanya ujinga nchi nilikuwa inaenda kwenye mikono ya JWTZ .... Tungekuwa tunalala SAA 1 jioni
🤣🤣We jamaa kizibo kweliBora hata Kasim Majaliwa angepewa nchi!! Hazikuwa mbaya kupokea maana tulifiwa LAKINI wanaomtaka Tena 2025 wanatukosea kama nchi.
Hivi nchi imekosa wanaume wachapakazi mpaka "kichwa cha taifa" head of state awe mwanamke???
Hata ngazi ya familia mwanamke hawi kichwa cha familia labda baba afariki!!
Sasa 2025 tunapaswa tufuate mafunzo ya dini na tamaduni zetu kichwa cha nchi hakipaswi kuwa mwanamke labda msaidizi maana wanawake waliumbwa kuwa wasaidizi.