ilikuaje ukamuacha binti, kijana msafi kiasi hicho? au yeye ndio alikuacha akaona sio level zake?Aisee nilikuwaga na x mmoja hivi, kwa Usafi nampa shikamoo. Anatumia sabuni clasic, zile body wash/ liquid soap, kichwani shampoo nzuri zinanukia [emoji16] sio haya ma sabuni ya vipande
Haaaaa haaaaa sabuni za magadi toka kigoma mwisho wa reliUtasikia sabuni ya vipande inatoa m'ba!pumbavu[emoji23]
Usikimbie rudi usikilize kaka [emoji124] [emoji124] [emoji124][emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji125] [emoji125]
Asante, haaaa haaaaTena sana
Unajua tofauti ya kujipenda na kujikwatua? Unamkuta kijana wa daslam nywele ina pico, sikio lina hereni, nyusi zimetindwa, uso una poda, lips zinameremeta, ulimi unakihereni, kuna jino la silver/gold, Huku sio kujipenda ni kujikwatua.Maajabu ni kwamba Mwanaume ukiwa msafi au unajipenda sana wengine wanakuita Shoga.
Mtu utakuta anatoa harufu utazani kiwanda cha magadi na bado analilia kunyonywa Ub**Haaaaa haaaaa sabuni za magadi toka kigoma mwisho wa reli
Sawa ila niambie inaitwaje nimnunulie na wifi yako maana nahisi itakuwa nzuriEe fanya hivyo mdogo wangu
Sawa ila niambie inaitwaje nimnunulie na wifi yako maana nahisi itakuwa nzuri
Acha hizo wewe[emoji818] [emoji736] kwanguo za ndani duu mtihani na siku hizi wanavyo vyaa kata k, jamani jamani hizo boxer ni mara mia dekio langu la nyumbani
Sawa niandalie quotation kisha nitimie kwenye email yangu nakutumia PMWe nipe hela nitamnunulia na yeye
Nipo nasoma maoni ya wadauUsikimbie rudi usikilize kaka [emoji124] [emoji124] [emoji124]
We maza konfesa, unanini nasi wenye vimo vyetu?Bora mwanaume mfupi awe mchafu hatishi sana kuliko matolu....[emoji16][emoji16](kidding)
Hii comment si ya kiume. ....vipi wewe LGBT memba?Mtu utakuta anatoa harufu utazani kiwanda cha magadi na bado analilia kunyonywa Ub**
Aisee sijaelewa ulichoandikaSawa niandalie quotation kisha nitimie kwenye email yangu nakutumia PM
Ilikuwaje hadi mkaachana mtoto mzuri?Aisee nilikuwaga na x mmoja hivi, kwa Usafi nampa shikamoo. Anatumia sabuni clasic, zile body wash/ liquid soap, kichwani shampoo nzuri zinanukia [emoji16] sio haya ma sabuni ya vipande