Ni wanaume wangapi tunajali usafi?

Ni wanaume wangapi tunajali usafi?

Humu kuna watu hata ukiangalia avatar zao tu unajua wapo smart,ukiwa na uwezo wa kuvaa vizuri pendeza tu kuna mchizi humu huwa navutiwa na picha zake ananifanya mpaka namimi niwe natupia siku hizi.
Wanawake wengi wanavutiwa na mwanaume anayevaa na kupendeza
Kama tayar nmeshaoa natafuta kumvutia nan tena!!
 
Aisee nilikuwaga na x mmoja hivi, kwa Usafi nampa shikamoo. Anatumia sabuni clasic, zile body wash/ liquid soap, kichwani shampoo nzuri zinanukia [emoji16] sio haya ma sabuni ya vipande
Itakuwa alikuwa msafi zaid yako ndo mana akakumwaga asee
 
according to whom?
mwanaume unatumiaje ef30 kwa ajili ya nywele ndani ya mwezi huo ni ushangazi.
mkuu umeshindwa kutofautisha usafi na ushoga
vitu vingine hapo ni ushoga
 
Mwanaume kutumia 30000 kwa ajili ya nywele huo ni ubyutifu
Mwanaume nyele kushevu ni buku moko per wiki

Fyumu 3 geto sio dampo

Swaking kila mara huu udada walahi
 
Mme
Kuna Mshkaji ni Workmate yaani mshahara sio mkubwa ila ukiingiaga hapohapo anatenga hela ya kutosha anampigia mke wake wanaenda kununua misosi sokoni, na mara nyingi ananunua perfume na mafuta ya gharama utasema Big boss flan...

Ukipishana naye ananukia fresh kinoma...ama mke wake na hadi watoto unaona wamekaaga poa tu muda wote...vinang'aa

Ila kwny story na washkaji wengine utasikia Mwanaume utanukiaje perfume vile...au choko?

Sisi wabongo bana...!
Mme wa hivyo nalainika fasta mm anapenda Usafi bana
 
Kwamba saloon nisipotumia 30,000 mm ni mchafu??? Tunaoenda saloon za kawaida 3,000 kwa huduma mara mbili au mara tatu kwa mwezi sisi ni wachafu na Perfume ni lazima ziwe tatu ikiwa moja au hakuna ni uchafuu???

Basi wengi ni wachafu hata mm ni mchafuu.
 
All in all bora mwanaume awe mchafu, kuliko mwanamke awe mchafu...

Morphology ya miil yetu inatupaa credit hata ukiwa na boxa moja
 
Back
Top Bottom