rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
Still used[emoji23] [emoji23] used from UK mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Still used[emoji23] [emoji23] used from UK mkuu
Kama tayar nmeshaoa natafuta kumvutia nan tena!!Humu kuna watu hata ukiangalia avatar zao tu unajua wapo smart,ukiwa na uwezo wa kuvaa vizuri pendeza tu kuna mchizi humu huwa navutiwa na picha zake ananifanya mpaka namimi niwe natupia siku hizi.
Wanawake wengi wanavutiwa na mwanaume anayevaa na kupendeza
Itakuwa alikuwa msafi zaid yako ndo mana akakumwaga aseeAisee nilikuwaga na x mmoja hivi, kwa Usafi nampa shikamoo. Anatumia sabuni clasic, zile body wash/ liquid soap, kichwani shampoo nzuri zinanukia [emoji16] sio haya ma sabuni ya vipande
Aaah umejifichaaa umeona ujimwage tu hadharani kauli za kike izo Alafu unajiita wa mkoan...tuondolee mikosi aseeMtu utakuta anatoa harufu utazani kiwanda cha magadi na bado analilia kunyonywa Ub**
[emoji38][emoji38][emoji38]asanteMwanaume awe na boxer nyingi za nini? Kwani ana bleed. Mwanaume boxer mbili tu. Moja ikiwa kambani inakauka nyingine iko mwilini. [emoji664]
[emoji23][emoji23][emoji23]hamna povu hapo nahisi hii comment inanihusu 100%
NB: mi ni handsome sana jaman ila naogea sabuni ya POA ya 200
[emoji3][emoji3][emoji3]
Mme wa hivyo nalainika fasta mm anapenda Usafi banaKuna Mshkaji ni Workmate yaani mshahara sio mkubwa ila ukiingiaga hapohapo anatenga hela ya kutosha anampigia mke wake wanaenda kununua misosi sokoni, na mara nyingi ananunua perfume na mafuta ya gharama utasema Big boss flan...
Ukipishana naye ananukia fresh kinoma...ama mke wake na hadi watoto unaona wamekaaga poa tu muda wote...vinang'aa
Ila kwny story na washkaji wengine utasikia Mwanaume utanukiaje perfume vile...au choko?
Sisi wabongo bana...!
😀Ilikuwaje hadi mkaachana mtoto mzuri?
ilikuaje ukamuacha binti, kijana msafi kiasi hicho? au yeye ndio alikuacha akaona sio level zake?
Mwanaume mfup mchafu si mnamuona kama mtoto katoka kuchezaBora mwanaume mfupi awe mchafu hatishi sana kuliko matolu....😁😁(kidding)
😀😀😀😀😀😀😀Utasikia sabuni ya vipande inatoa m'ba!pumbavu[emoji23]
Kama kalunguyeye vile..Mwanaume mfup mchafu si mnamuona kama mtoto katoka kucheza
Kama kalunguyeye vile..
Kumbe unamjua...HahahahaHahahaha.....aicee kweli umechoka na watu wafupi.
Nimevuta picha ya karunguyeye alivyo.