Ni wapi hapa Dar naweza kwenda kukaa tu na Laptop yangu bila kununua chochote?

Ni wapi hapa Dar naweza kwenda kukaa tu na Laptop yangu bila kununua chochote?

Hili ndiyo tatizo la dar nalo jiji eti! Hamna hata sehemu nzuri unaweza kwenda kupumzika yaani shida tupu kila sehemu uchafu na kipindi hik cha mvua ndyo usipime ukienda coco kuchafu juz kuna thread ililetwa hapa kuhusu bomba la maji machafu kupasuka pembezon mwa ufukwe wa coco beach, dar shida tupu labla ukakae pembezoni mwa barabara ukiwa na mwavuli wako

Mkuu

Hilo ndio jibu la msingi kabisa! Na wanaohusika waturudishie sehemu za mandhari ya mapumziko katika jiji
 
Hili ndiyo tatizo la dar nalo jiji eti! Hamna hata sehemu nzuri unaweza kwenda kupumzika yaani shida tupu kila sehemu uchafu na kipindi hik cha mvua ndyo usipime ukienda coco kuchafu juz kuna thread ililetwa hapa kuhusu bomba la maji machafu kupasuka pembezon mwa ufukwe wa coco beach, dar shida tupu labla ukakae pembezoni mwa barabara ukiwa na mwavuli wako
Kando ya Barabara watamsumbua wakidhani anaiuza laptop yenyewe
 
Open space zote tumewapa wawekezani jamani kaeni nyumbani kwenu wakati tukifanya utaratibu wa sehemu nyingine
 
images
 
Very simple! nenda hapo Rugalo kuna garden nzuri iko poa sana. kuna watu tuu wanaitunza wapo mda wote watakukaribisha vzr sana tena kwa ukarimu mkubwa wa kitanzania na uta-enjoy sana
Lugalo

Not

Rugalo
 
Back
Top Bottom