Ravalomanana
JF-Expert Member
- Sep 8, 2018
- 1,557
- 1,540
Kwa takwimu za CAF tuko namba sitaKwa muda sasa kumekuwa na kupongezana kutokana na taarifa kuwa ligi kuu ya NBC ilitangazwa ni ligi ya 5 kwa ubora katika bara la Afrika.
Kwa muda mrefu nimejaribu kuitafuta hii taarifa humu mitandaoni kutoka vyanzo vyovyote vya nje ikiwemo CAF wenyewe ila hadi leo sijawahi kuiona mahali popote.
Kama kuna mtu ana link inayotaja rank hiyo itapendeza akishare katika uzi huu.
Ingekua vizuri ukazileta hapa wewe mwenye akili, mimi nmeleta za uongoKwa hiyo kila nyuzi inayoletwa humu unadhani nitaiona? Ulivyoingia kwenye huo uzi uliona niliuchangia? Kama una bando la kufukunyua nyuzi za nyuma, unashindwa nini kupata link ya FIFA au CAF iliyotoa hizo rankings mnazotamba nazo?
Hicho siyo kigezo Cha uboraIla inaweza kuwa kweli maana ukiangalia kwa ukanda wa nchi za chini ya jangwa la Sahara kwa Sasa ligi yetu itafungwa na team kutoka SA (hapa naongelea Yanga na Simba)
Ila unawakanda mzee baba,nakuona tu tangu kulee[emoji23][emoji23][emoji119]Nmekwambia leta source yako tuachachane na hio ya uongo una tingisha kalio kama malaya
Sawa ukimaliza ulete data zakoUnajipa umuhimu ambao hauna. Kwani wewe ndiyo ulileta hizi habari?
Leta data hapa wewe lofa maneno mengi ya niniUpwiru umekuzidi hadi unadandia mada ambazo hauzielewi