Ni wapi na lini CAF walitangaza ligi ya Tanzania ni ya 5 kwa ubora?

Ni wapi na lini CAF walitangaza ligi ya Tanzania ni ya 5 kwa ubora?

Kwa muda sasa kumekuwa na kupongezana kutokana na taarifa kuwa ligi kuu ya NBC ilitangazwa ni ligi ya 5 kwa ubora katika bara la Afrika.

Kwa muda mrefu nimejaribu kuitafuta hii taarifa humu mitandaoni kutoka vyanzo vyovyote vya nje ikiwemo CAF wenyewe ila hadi leo sijawahi kuiona mahali popote.

Kama kuna mtu ana link inayotaja rank hiyo itapendeza akishare katika uzi huu.
Kwa takwimu za CAF tuko namba sita
 
Kwa hiyo kila nyuzi inayoletwa humu unadhani nitaiona? Ulivyoingia kwenye huo uzi uliona niliuchangia? Kama una bando la kufukunyua nyuzi za nyuma, unashindwa nini kupata link ya FIFA au CAF iliyotoa hizo rankings mnazotamba nazo?
Ingekua vizuri ukazileta hapa wewe mwenye akili, mimi nmeleta za uongo
 
Ila inaweza kuwa kweli maana ukiangalia kwa ukanda wa nchi za chini ya jangwa la Sahara kwa Sasa ligi yetu itafungwa na team kutoka SA (hapa naongelea Yanga na Simba)
Hicho siyo kigezo Cha ubora
 
Back
Top Bottom