Raja Casablanca
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 706
- 368
Kudadadeki . . Acha uzushi dogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbezi Msumi unapata kwa hii?Kiluvya...mpiji...msumi...
Kigogo fresh maeneo ganiNakushauri uende chanika, kibwegere, kigogofresh kwa mbele huko, vikindu,
Yap..mimi nilipata pale kwa Bundalaa, ukiwa na subraa unapataMbezi msumi unapata kwa hii ?
Nilipata Kibwegele, safi sana japo hapajapimwaNakushauri uende chanika, kibwegere, kigogofresh kwa mbele huko, vikindu,
Mbweni vipi hapati
Nitafute nikupe kiwanja madale kwa 7.8 unilipe kwa awamuHabari Wana JF,
Natafuta Kiwanja Dar es salaam Cha bei poa Chini ya Mil 4
Vigezo;
- Eneo liwe lina upatikanaji wa maji na umeme
- Pasiwe mbali sana na Mji(Ndani ya dar es salaam)
- Eneo la kutosha vyuma ya vyumba 3 na choo 2.
Nenda Buza kwa mpalange utapataHabari Wana JF,
Natafuta Kiwanja Dar es salaam Cha bei poa Chini ya Mil 4
Vigezo;
- Eneo liwe lina upatikanaji wa maji na umeme
- Pasiwe mbali sana na Mji(Ndani ya dar es salaam)
- Eneo la kutosha vyuma ya vyumba 3 na choo 2.
Huwezi kupata eneo ndani ya dar es salaam kwa hela hio mzee! Maeneo yapo Mkuranga kwa hio pesa unapata eneo kubwa tu la kutosha.
Hapati au hupati?Mbweni vipi hapati
Madale kwenyewe kuanzia 10ml+Hela hyo unapata boss kiwanja safi 20×20 achana na matajiri wa jf wasikutishe[emoji23][emoji23]
Muhindi?Tabata
Muhindi kafanyajeMuhindi?
Muhindi kafanyaj
Na ndio asili ya hilo neno jamaa alikuwa anawakopa wakulima korosjo wakiulizia pesa zao anawaambia tabataTabata=utapata