Ni wapi naweza kupata Kiwanja cha chini ya milioni 4 kwa Dar es Salaam?

Ni wapi naweza kupata Kiwanja cha chini ya milioni 4 kwa Dar es Salaam?

Habari Wana JF,

Natafuta Kiwanja Dar es salaam Cha bei poa Chini ya Mil 4

Vigezo;
  • Eneo liwe lina upatikanaji wa maji na umeme
  • Pasiwe mbali sana na Mji(Ndani ya dar es salaam)
  • Eneo la kutosha vyuma ya vyumba 3 na choo 2.
Kigamboni mji mwema patakufaa zaidi, 20 kwa 20 unapata na ni karibu na mjini bora adha ya kuvuka pantoni kuliko kwenda kujenga Chanika utajuta.

Ukishamalizana na matapeli wote ukiwa upo tayari kununuwa kiwanja nicheck nitakukabidhi kwa mwenyekiti wa mtaa unamaliza shida yako.

Hakuna mjanja yoyote anayekaa mbali na city center, viwanja vipo tatizo wabongo ujuwaji mwingi.
 
Habari Wana JF,

Natafuta Kiwanja Dar es salaam Cha bei poa Chini ya Mil 4

Vigezo;
  • Eneo liwe lina upatikanaji wa maji na umeme
  • Pasiwe mbali sana na Mji(Ndani ya dar es salaam)
  • Eneo la kutosha vyuma ya vyumba 3 na choo 2.
Maeneo unaweza kupata Kigamboni,
20x20m ,

Wasiliana nasi UVIMO CIVIL WORK GROUP,
kwa huduma ya viwanja na ujenzi.

0753927572
0629361896
 
sinza pale darajani..anaingia kushoto upande wa tandale...anapata eneo mbona sema ni karum kamoja..choo kujitegemea ..yaani hapo ni kulala tu...ikija mvua unakua unalala kwenye ile AFM..Automatic Floating Matress...aka Water Banco
Labda uelewa wangu ila nahisi huna nia ya kumsaidia mtoa mada,
Hata hivyo mimi nilikuwa napita tyu.
 
Jarib na Mbez mwish na maeneo ya Maramb Mawili , King'azi ( Ila hapa uhakika labd uwe hujaridhika nako tu)
 
Habari Wana JF,

Natafuta Kiwanja Dar es salaam Cha bei poa Chini ya Mil 4

Vigezo;
  • Eneo liwe lina upatikanaji wa maji na umeme
  • Pasiwe mbali sana na Mji(Ndani ya dar es salaam)
  • Eneo la kutosha vyuma ya vyumba 3 na choo 2.
Kibaha maeneo ya kilivya nicheki kipo nakupa kwa Mil 4 kamili
 
Huwezi kupata eneo ndani ya Dar es salaam kwa hela hio mzee! Maeneo yapo Mkuranga kwa hio pesa unapata eneo kubwa tu la kutosha. Hio ni Kilwa road!

Upande wa Bagamoyo road pia yapo maeneo Vikawe ni mbele kidogo ya bunju unapata eneo freshi kubwa tu 20*20 au zaidi!

Morogoro road ni kuanzia mbele ya kibaha hapo. Kama upo tayari tunaweka wese tunaenda kamata eneo chap!
Kwa nn hawezi kupata?

Kigamboni a 26kms from ferry na Daraja la Nyerere unapata kiwanja kwa bei hiyo.

We ikizungumziwa Dar es Salaam unalenga maeneo gani? Tuache kukatishana tamaa.

Tuondoe hizi mentality kuwa Dar is expensive that much, ipo mikoa ardhi ni very expensive mfano Arusha kuanzia kiwanja, material na labour items ni very expensive.

Dar stil baadhi ya items kwenye ujenzi ni cheap compared na maeneo mengine hapa Bongo.

Mhitaji ikibidi nitakuunga na watu wa viwanja kama vipi.

Ukiniuliza wewe umejenga nitakujibu, "kwa sasa sitajenga tena nyumba ya kuishi, iliyopo Arusha inanitosha. Hapa Dar nitajenga frames tena pasipo pembezoni sana ndo naona nitatoboa...nyumba ya kuishi ni complex in terms of investment"
 
Back
Top Bottom