Unauhakika??unajua ukubwa wa viwanja vya sinza na je sinza imejengwa vyoo tupu?tuwe tunajifunza kukaa kimya mda mwingine.Hiki si kwa ajili ya kujenga choo tu na bafu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unauhakika??unajua ukubwa wa viwanja vya sinza na je sinza imejengwa vyoo tupu?tuwe tunajifunza kukaa kimya mda mwingine.Hiki si kwa ajili ya kujenga choo tu na bafu?
MpijiKiluvya...mpiji...msumi...
Taja eneo kwa square meter nione kama naweza kukumegeaHabari Wana JF,
Natafuta Kiwanja Dar es salaam Cha bei poa Chini ya Mil 4
Vigezo;
- Eneo liwe lina upatikanaji wa maji na umeme
- Pasiwe mbali sana na Mji(Ndani ya dar es salaam)
- Eneo la kutosha vyuma ya vyumba 3 na choo 2.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sinza unapata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa vigezo vyako...
Hapo ni mwendo wa Mbangala, Kachina, kivule, Chamazi, Gongola Mboto...
Bagamoyo unapata...
Kigamboni unapata ila ni mbali sana...
4m kwa dar ni ishu...mbopo unaingilia madale..unaenda sana.....ila 15x15 ni 8milionLabda uelewa wangu ila nahisi huna nia ya kumsaidia mtoa mada,
Hata hivyo mimi nilikuwa napita tyu.
Hupati Kwa 4Million...Ubungo, makumbusho, mwenge.
Du sinza itakuwajeHupati Kwa 4Million...
Haponi Millions chini sana ni Million 80 na kuendelea...
Million 100 kuendelea...Du sinza itakuwaje
Million 100 kuendelea...
Kwa million 4 labda upate choo tena passport...Hata mil4 anapata sinza vizurii tuu,anicheki nimtafutie eneo sinza
Kwa million 4 labda update choo tena passport...
Unataka kumuuzia choo mwenzako...
Wewe mkulima huijui Dar kaa kimya.4m kwa dar ni ishu...mbopo unaingilia madale..unaenda sana.....ila 15x15 ni 8milion
Kibaha MkoaniHabari Wana JF,
Natafuta Kiwanja Dar es salaam Cha bei poa Chini ya Mil 4
Vigezo;
- Eneo liwe lina upatikanaji wa maji na umeme
- Pasiwe mbali sana na Mji(Ndani ya dar es salaam)
- Eneo la kutosha vyuma ya vyumba 3 na choo 2.
Mbangala na Kachina ndiyo wapi huko?Kwa vigezo vyako...
Hapo ni mwendo wa Mbangala, Kachina, kivule, Chamazi, Gongola Mboto...
Bagamoyo unapata...
Kigamboni unapata ila ni mbali sana...
ROTFL 🤣Kwa million 4 labda upate choo tena passport...
Unataka kumuuzia choo mwenzako...
Ni kweli are you Rolling On The Floor Laughing...ROTFL 🤣