Ni wapi naweza kupata Kiwanja cha chini ya milioni 4 kwa Dar es Salaam?

Ni wapi naweza kupata Kiwanja cha chini ya milioni 4 kwa Dar es Salaam?

Ni kweli are you Rolling On The Floor Laughing...

Weka picha tuone...
selena-gomez-lie-on-the-floor.gif

😁
 
Ñnjoo nikuuzie kiwanja changu kipo kigamboni magorofani dege hakina udalali wala nn nione 0653054835 30*20 hakina migogiro

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Habari Wana JF,

Natafuta Kiwanja Dar es salaam Cha bei poa Chini ya Mil 4

Vigezo;
  • Eneo liwe lina upatikanaji wa maji na umeme
  • Pasiwe mbali sana na Mji(Ndani ya dar es salaam)
  • Eneo la kutosha vyuma ya vyumba 3 na choo 2.
Zungumza na madali, huwezi kukosa. Wengi wana grupu zao siku hizi, zinawasaidia sana kuhudumia wateja wao.

NB: Taja ukubwa wa kiwanja unachotaka (kwa Sq M) na sio aina au size ya jengo pekee. Ukinipa kiwanja hata cha sq.m 64 (8mx8m) naweza kuweka hapo nyumba yenye vyumba 3 na vyoo 2 kama utakavyo...... najenga kighorofa tu na basement!
 
dah! ndo nauona uzi! kipo million 3 kiwanja njia ya chanika unashuka kwa zoo, boda hadi eneo la kiwanja buku
 
Kigamboni mji mwema patakufaa zaidi, 20 kwa 20 unapata na ni karibu na mjini bora adha ya kuvuka pantoni kuliko kwenda kujenga Chanika utajuta.

Ukishamalizana na matapeli wote ukiwa upo tayari kununuwa kiwanja nicheck nitakukabidhi kwa mwenyekiti wa mtaa unamaliza shida yako.

Hakuna mjanja yoyote anayekaa mbali na city center, viwanja vipo tatizo wabongo ujuwaji mwingi.
Mji mwema kiwanja 4m? Kwanza Mji mwema kuna kiwanja kitupu?!
 
Mji mwema kiwanja 4m? Kwanza Mji mwema kuna kiwanja kitupu?!
Inawezekana wewe ni mgeni, Kibugumo ipo kata ya mji mwema.

Ukitaka kiwanja kikubwa standard kuanzia million 8.

Mimi nina site hapo Kibugumo na viwanja kibao vipo wazi, kama unahitaji sema na siyo kuhisi na kubisha.

Huyo niliyemwambia anapata kwa bei hiyo ni wale wanaomega mashamba yao na kuuza vipande vidogo vodogo, still bado Kibugumo ni karibu kutoka mjini au ferry.
 
Inawezekana wewe ni mgeni, Kibugumo ipo kata ya mji mwema.

Ukitaka kiwanja kikubwa standard kuanzia million 8.

Mimi nina site hapo Kibugumo na viwanja kibao vipo wazi, kama unahitaji sema na siyo kuhisi na kubisha.

Huyo niliyemwambia anapata kwa bei hiyo ni wale wanaomega mashamba yao na kuuza vipande vidogo vodogo, still bado Kibugumo ni karibu kutoka mjini au ferry.
Ahaa kumbe Kibugumo. Hapo Sawa.
 
Back
Top Bottom