Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Sipakumbuki nilienda usiku alafu hakukua na umeme...Mbangala na Kachina ndiyo wapi huko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sipakumbuki nilienda usiku alafu hakukua na umeme...Mbangala na Kachina ndiyo wapi huko?
Usipende kutembea usiku sehemu zisizo na umeme... Gizani kuna mengi 😎Sipakumbuki nilipenda usiku alafu hakukua na umeme...
Ni kweli are you Rolling On The Floor Laughing...
Weka picha tuone...
Zungumza na madali, huwezi kukosa. Wengi wana grupu zao siku hizi, zinawasaidia sana kuhudumia wateja wao.Habari Wana JF,
Natafuta Kiwanja Dar es salaam Cha bei poa Chini ya Mil 4
Vigezo;
- Eneo liwe lina upatikanaji wa maji na umeme
- Pasiwe mbali sana na Mji(Ndani ya dar es salaam)
- Eneo la kutosha vyuma ya vyumba 3 na choo 2.
Now days umegeuka kua Selina Gomez...
Giza hua halinisumbui...Usipende kutembea usiku sehemu zisizo na umeme... Gizani kuna mengi 😎
Now days umegeuka kua Selina Gomez.
Picha ya Selina hiyo weka ya kwako...Kama ulivyoona.
Inakuja...Picha ya Selina hiyo weka ya kwako...
Magoe na Majohe ni sehemu mbili tofauti? Au ni mimi ndiyo sijui kitu....njoo mpiji magoe
ni sehemu mbili tofauti.majohe ni njia ya gongo ka mboto wakati magoe ni njia ya kibambaMagoe na Majohe ni sehemu mbili tofauti? Au ni mimi ndiyo sijui kitu....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mr mie nlikua nampa taarifa na maeneo hayo. UwiiiihHupati Kwa 4Million...
Haponi Millions chini sana ni Million 80 na kuendelea...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa million 4 labda upate choo tena passport...
Unataka kumuuzia choo mwenzako...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usipende kutembea usiku sehemu zisizo na umeme... Gizani kuna mengi [emoji41]
Mji mwema kiwanja 4m? Kwanza Mji mwema kuna kiwanja kitupu?!Kigamboni mji mwema patakufaa zaidi, 20 kwa 20 unapata na ni karibu na mjini bora adha ya kuvuka pantoni kuliko kwenda kujenga Chanika utajuta.
Ukishamalizana na matapeli wote ukiwa upo tayari kununuwa kiwanja nicheck nitakukabidhi kwa mwenyekiti wa mtaa unamaliza shida yako.
Hakuna mjanja yoyote anayekaa mbali na city center, viwanja vipo tatizo wabongo ujuwaji mwingi.
Inawezekana wewe ni mgeni, Kibugumo ipo kata ya mji mwema.Mji mwema kiwanja 4m? Kwanza Mji mwema kuna kiwanja kitupu?!
Ahaa kumbe Kibugumo. Hapo Sawa.Inawezekana wewe ni mgeni, Kibugumo ipo kata ya mji mwema.
Ukitaka kiwanja kikubwa standard kuanzia million 8.
Mimi nina site hapo Kibugumo na viwanja kibao vipo wazi, kama unahitaji sema na siyo kuhisi na kubisha.
Huyo niliyemwambia anapata kwa bei hiyo ni wale wanaomega mashamba yao na kuuza vipande vidogo vodogo, still bado Kibugumo ni karibu kutoka mjini au ferry.