Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
Sasa Buyuni sindio yale yale tu! Unakuta eneo lilipo na city centre kama kariakoo,mnazi ama posta distance yake ni 25KM+ yani ni lazima pawe mbali tu!Au aende mbele ya Kigamboni kunaitwa Buyuni na vimepimwa. Kwa bei hiyo atapata kizuri tu..
By the way, kuna watu huwa wanadanganyana sehemu kama Mbagala etiunaweza pata eneo zuri kwa bei rahisi...
Kuhusu mbagala eneo kupata hawezi! Bei ni kubwa yani na maeneo hakuna tena!