Ni wapi naweza kupata Kiwanja cha chini ya milioni 4 kwa Dar es Salaam?

Ni wapi naweza kupata Kiwanja cha chini ya milioni 4 kwa Dar es Salaam?

Mkuu Kibaha kwenda Posta dk 30 hutoboi. Hata barabara iwe nyeupe kbs uwe unaendesha peke yako. Labda upae
Kutoka Halmashauri ya kibaha mpaka coco plaza on average tunatumia 45 minutes. Na naenda mara kwa mara kwa sababu za kikazi.. so am sure it's possible na hakuna anayekimbia sana.. just Normal speed 60/70 whenever you can
 
Kama bajeti yako ni Mil.4 hakikisha unatenga at least laki 2-3 kwajili ya uhakiki. Pwani ni yakitapeli mno.. hasa hivi viwanja vya miguu kwa miguu.

Watu hawana huruma ma imekuwa biashara kubwa nhawajifichi tena. Unajikuta umemlipa tapeli, mtu alitapeliwa kwenye maeneo yenye upimaji na Umiliki. Kuwa makini sana.
Matapeli wa kumwaga,kuna mwana wa karibu sana na si tapeli akanishtua baba yake mdogo anauza kiwanja mitaa ya kibamba hospitali,nikamuamini jamaa sababu naijua michezo yake si ya kipigaji,nikamvutia waya dogo aende kukiona,kukiona kiko poa,nikatuma pesa dogo akalipia bila doubt yyt sababu muuzaji ni faza mdogo wa mwana wa karibu na mwana alitutoa shaka kwa mdingi wake,tukapitia sehemu zote hadi serikali za mitaa na wao wakala chao kmm zao,baada ya miezi kadhaa tunakuja kugundua ile sehemu ipo kwenye hifadhi ya muhimbili!nikawa mpole nilichoamua nikampotezea tu mwana huu mwaka wa 8 sina habari nae,wabongo sio kabisa
 
Matapeli wa kumwaga,kuna mwana wa karibu sana na si tapeli akanishtua baba yake mdogo anauza kiwanja mitaa ya kibamba hospitali,nikamuamini jamaa sababu naijua michezo yake si ya kipigaji,nikamvutia waya dogo aende kukiona,kukiona kiko poa,nikatuma pesa dogo akalipia bila doubt yyt sababu muuzaji ni faza mdogo wa mwana wa karibu na mwana alitutoa shaka kwa mdingi wake,tukapitia sehemu zote hadi serikali za mitaa na wao wakala chao kmm zao,baada ya miezi kadhaa tunakuja kugundua ile sehemu ipo kwenye hifadhi ya muhimbili!nikawa mpole nilichoamua nikampotezea tu mwana huu mwaka wa 8 sina habari nae,wabongo sio kabisa
Pwani sio kabisa... Nina kutana na kesi mpaka wamewapimia kabisa watu kwenye upimaji... Yaani hujui ugeukie wapi.. ndani ya serikali nje kote upigaji tuu... Pole sana . SIku hizi kama haiuzi Halmashauri au mradi hauuzwi kwa uwazi kuwa makini... Maana watu wanakuletea mpaka hati ukifika wizarani zinanza story ..haikuwa kwenye Mfumo wakati tunahamisha mafail..ukishalipa ndio unakutana na Mtu anamiliki toka mwaka 80 huko na analipa Kodi utajua hujui
 
Pwani sio kabisa... Nina kutana na kesi mpaka wamewapimia kabisa watu kwenye upimaji... Yaani hujui ugeukie wapi.. ndani ya serikali nje kote upigaji tuu... Pole sana . SIku hizi kama haiuzi Halmashauri au mradi hauuzwi kwa uwazi kuwa makini... Maana watu wanakuletea mpaka hati ukifika wizarani zinanza story ..haikuwa kwenye Mfumo wakati tunahamisha mafail..ukishalipa ndio unakutana na Mtu anamiliki toka mwaka 80 huko na analipa Kodi utajua hujui
Noma
 
Habari Wana JF,

Natafuta Kiwanja Dar es salaam Cha bei poa Chini ya Mil 4

Vigezo;
  • Eneo liwe lina upatikanaji wa maji na umeme
  • Pasiwe mbali sana na Mji(Ndani ya dar es salaam)
  • Eneo la kutosha vyuma ya vyumba 3 na choo 2.

Tundwi Songani
 
Njoo huku mitaa ya Dege Kigamboni viwanja kuanzia 3m ni km20 kutoka Ferry.
IMG_20211003_093457_3.jpg
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] ndiko maeneo ya kitonga yalipo! Kama hataki anataka karibu na mjini basi aandae 15M au zaidi akawavue watu waliopo karibu na mjini
Maeneo yapo hata chini ya hapo,anifuate pm mm nimtafutie huku mbezi kwa Msuguli anapata

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Habari Wana JF,

Natafuta Kiwanja Dar es salaam Cha bei poa Chini ya Mil 4

Vigezo;
  • Eneo liwe lina upatikanaji wa maji na umeme
  • Pasiwe mbali sana na Mji(Ndani ya dar es salaam)
  • Eneo la kutosha vyuma ya vyumba 3 na choo 2.
Chanika kwa mbiki[emoji23][emoji23] kiwanja kina twamisha maji
 
Back
Top Bottom