Ni wapi naweza kupata mkopo usio na RIBA ndani ya Tanzania hii?

Duh mkopo sio haram ila mkopo wenye riba ndani yake ndio haram...upo?!
 
Benki za kiislam
 
s
Kwanza nikupongeze Kwa kushikilia dini. Jitahidi pia usichepuke, Wala usipige mitungi.
Kuhusu mikopo, Check na NBC, Wana hicho kitengo Cha Islamic banking. Au People's Bank of Zanzibar. Wana hiyo mikopo isiyo na riba.
io kweli,hao amana sijui bpz taratibu zao ni wanakuuliza unataka mkopo wa nini kama ni gari basi wako wanakununulia gari then ndio unalipa huo mkopo ukifatilia kwa undani utakuta wamepata faida kwa kukuuzia hilo gari walilokununulia kwa mkopo ,riba imejifichamo,hupewi cash
 
kuna baadhi ya maandiko yameshapitwa na wakati tuishi kwa uhalisia,nina uhakika ingekua ni kipindi hiki hilo andiko lisingekuwepo
 
Jaribu bank za Kiislam kama Amana. Hawana riba mkuu. Ukikopa milioni 10 unarudisha milioni 10
 
Jaribu bank za Kiislam kama Amana. Hawana riba mkuu. Ukikopa milioni 10 unarudisha milioni 10
Hawatoi pesa taslimu...mikopo yao ni ya vitu tu..mfano una duka wao wanakuja kulithaminisha kisha wanakujazia mzigo wao wanakuwa wamekuuzia
 
Yaani upewe mkopo na mkopeshaji halafu akufaidishe huku yeye hapati choochote..!!!! Nenda tu kaombe kwa wazazi wako au kaka/dada zako
 
Nenda Peoples Bank of Zanzibar wanayo huduma ya Islamic Banking
 
Hiyo Ni biashara ndugu na baadhi ya ahl Elim wanasema sio riba
 
acha uongo wa kipumbavu,weka ushahidi hapa
Nikiwekee ushahidinwa Nini bwege wewe ...kama hautaki basi... Si nimekwambia uende Kwa Afisa utumishi wako au mkuu wako wa idara!!?? Yaani wabongo bwana ..... Ambacho hautaki ni Nini!!?? We ni MPUMBAVU....
 

Attachments

Shukrani Sana mkuu umeelezea vema ....namalizia deni langu ntarudi PBZ kupata gari ya ndoto yangu.....Murabaha forever for my life inshaAllah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…