Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
-
- #181
Hahahah MPwa nimekuwa Expert siku hizi, kuna Kwa Mama Kamche, Kuna Jirani kidogo na kwa Kobe pale kuna kijiwe tena, Ukija Mitaa ya Mabibo kuna kijiwe kinaitwa Full Dose, Dah Full doze ya ukweli na kuna chimbo jingine linaitwa Gonga Zote, acha kabisa hio mambo aiseee. Tamu balaaamkuu Elli ulishapata ulicho kua una hitaji? tupe mrejesho tafadhali.
Hahahah MPwa nimekuwa Expert siku hizi, kuna Kwa Mama Kamche, Kuna Jirani kidogo na kwa Kobe pale kuna kijiwe tena, Ukija Mitaa ya Mabibo kuna kijiwe kinaitwa Full Dose, Dah Full doze ya ukweli na kuna chimbo jingine linaitwa Gonga Zote, acha kabisa hio mambo aiseee. Tamu balaaa
Hahahah MPwa nimekuwa Expert siku hizi, kuna Kwa Mama Kamche, Kuna Jirani kidogo na kwa Kobe pale kuna kijiwe tena, Ukija Mitaa ya Mabibo kuna kijiwe kinaitwa Full Dose, Dah Full doze ya ukweli na kuna chimbo jingine linaitwa Gonga Zote, acha kabisa hio mambo aiseee. Tamu balaaa
Nitapita huko
Usisahau kupita na maeneo ya Nyuma ya TRA Mwenge kuna kijiwe kingine tena pale.
Kitimoto inatibu UKIMWI, kaulize Kahama wana habari yake
buchaniNaombeni kwa wale wazoefu mnijuze, ni wapi naweza pata nyama safi ya mdudu kwa ajili ya kuuburudisha mwili na roho yangu for the weekend, nimechoka sana na kazi zimenibana sana nahitaji mdudu nile nitulie hadi jumatatu.
Asanteni sana kwa wale mtakaonijuza na kwa wale mtakaokasirika nawakaribisha pia ila muache wivu
mkuu huijui Zanzibar vizuri, uliza Mbweni kwa mamaJeni
hahahha asibishe huyo zenji kitimotro wanabofya kama kawa
Majanga haya sasa
Halafu siku si nyingi biashara ya kitimoto inaenda kudoda, hadi mwezi uandame ndipo ianze ku shine.
Cheers Pub Bunju kwa Baharia. Morogoro Msamvu ... Pub nimesahau jina
Astaghfirullah rabbi min kulli!
Kitimoto Zanzibar ?????
Are u serious?
HaswaaaaKumbe unagonga mnyama?
Weka wazi hapa jamvini. Huna haja ya kuniPM. Narudia, Zanzibar hakuna kitimoto