Ni wapi naweza kupata nyama safi ya Kitimoto for the weekend hapa Dar

Wakatolikii. TYK
 
Aisehh kitimoto chao ni full stake laini imeivaa vizuri, ndizi choma nzuriii balaaa, wasanii wasanii wengi huenda pale

Super hero daddy
Wasanii wasanii wengi ,hii wasanii wasanii ni ile ya wajanja wajanja mixer uongo uongo ,au wale waimbaji na waigizaji?

MTC | 101| [emoji769]
 
Makao makuu ya CDM kinondoni mtaa wa Ufipa. Hapo wanagawa bure kabisa.....
hahahahahahahahaha..nimecheka sana mkuu hivi nyinyi watu wa cdm na ccm mna nini ..mnavoraluana humu ndani nafurahi sana,,..dizain zile za zena na betina..mkikutana t mwenye Uzi kinawaka ata kama posti inahusu sadaka za kanisani mtatafutana t kwenye angle...dah!!...idumu jf
 
Makao makuu ya CDM kinondoni mtaa wa Ufipa. Hapo wanagawa bure kabisa.....
hahahahahahahahaha..nimecheka sana mkuu hivi nyinyi watu wa cdm na ccm mna nini ..mnavoraluana humu ndani nafurahi sana,,..dizain zile za zena na betina..mkikutana t mwenye Uzi kinawaka ata kama posti inahusu sadaka za kanisani mtatafutana t kwenye angle...dah!!...idumu jf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…