Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
QUALITIES OF GOOD EXAMPLESMi nashindwa kuelewa rais anapata wapi pesa za kugawa kwa marafiki, jamaa, viongozi wa dini, wasanii, na machawa wake
Nasema hivyo kwasababu niliona juzi kamnunulia kiongozi wa dini moja hivi gari ya milioni 100
Tuliona anavyomwaga pesa kule kwa mwamposa na nabii Suguye
Mara akampelekea rafiki yake mwimba taarab mwanahawa ally milioni 10 pamoja na kumuandalia Tamasha la mamilioni
Huyu huyu rais hizi pesa za kugawagawa anatoa wapi?Msije mkanijibu rais ana marafiki, msije mkanijibu ni mshahara wake.
Kama ni pesa za umma huu ni ufisadi na Rushwa, haiwezekani mapesa yote hayo anayagawa tu mara kununua magoli.
Rais Samia angepungukiwa na nini hizo fedha anazomwaga angewekeza kwenye miradi ya wananchi wake kwa mfano?
Hayo mapesa yangetosha kuchimba visima vingi tu kumaliza kero za maji
Yangenunua madawati ya kutosha tu
Yangeboresha huduma kwenye vituo vya afya
Maeneo mengi tu Dar es Sallam kuna shida za maji kuna sehem zimeinuka huko maji huwa hayapandi, kwanini asingewapelekea visima kama kweli ana nia?
Kuna watu wanateseka kuyafata maji kilometa kadhaa halafu rais anagawagawa hela za kununua magoli si matumizi mabaya ya pesa za umma haya?
Sisiem wajanja sana,mama yao ameamua kuja na staili ya kuwapa rushwa viongozi wa dini maana sisiem wanajua hao watu Wana ushawishi na Wana wafuasi wengi sana wanaowasikiliza huko kwenye vilinge vya Ibada.
Si wanajua mama yao nyanya mbovu hauziki kwa wananchi alafu tunakaribia uchaguzi kesho kutwa tu hapo.
so,wameamua kuja na huo mkakati..akili mtu wangu.
Hizo ni hela za mboga tu, hahahaa, kumbuka Rais akiongea tu anapewa posho
Vilevile wewe ukisema hallow makampuni ya simu yanapata pesa, je kwa watakao sema hallow Tanzania nzima makampuni ya simu yanaingiza kiasi gani?
1. Anachotewa Hazina kama njugu tu!
2. Mikopo huwa ni kwa ajili ya migawo tu lengo ni 2025
3. Waarabu wamepania kulinunua litanganyika na mambuga yake, madini yake, maji yake, milima yake na kila kitu. Wanampa kila kitu! mtashuhudia chopper mpya zinaruka kwenye kampeni subirini! Kuna chawa makandarasi walisetiwa wakaivaa ni uwongo. Mwendo wa yale mapikipiki, mabaiskeli, magari mapya polisi SUBIRINI. Tanganyika Gulioni!
ShikamooPosho kias gani za kuagiza bodaboda za bilioni 60?
Kiongozi ukiwa na bei matajiri wanakununua ili utakapokuwa madarakani serikali yako ikae mifukoni mwao.Mi nashindwa kuelewa rais anapata wapi pesa za kugawa kwa marafiki, jamaa, viongozi wa dini, wasanii, na machawa wake
Nasema hivyo kwasababu niliona juzi kamnunulia kiongozi wa dini moja hivi gari ya milioni 100
Tuliona anavyomwaga pesa kule kwa mwamposa na nabii Suguye
Mara akampelekea rafiki yake mwimba taarab mwanahawa ally milioni 10 pamoja na kumuandalia Tamasha la mamilioni
Mara katoa hela yake kagawa bodaboda za bilioni 64.
Huyu huyu rais hizi pesa za kugawagawa anatoa wapi?Msije mkanijibu rais ana marafiki, msije mkanijibu ni mshahara wake.
Kama ni pesa za umma huu ni ufisadi na Rushwa, haiwezekani mapesa yote hayo anayagawa tu mara kununua magoli.
Rais Samia angepungukiwa na nini hizo fedha anazomwaga angewekeza kwenye miradi ya wananchi wake kwa mfano?
Hayo mapesa yangetosha kuchimba visima vingi tu kumaliza kero za maji
Yangenunua madawati ya kutosha tu
Yangeboresha huduma kwenye vituo vya afya
Maeneo mengi tu Dar es Sallam kuna shida za maji kuna sehem zimeinuka huko maji huwa hayapandi, kwanini asingewapelekea visima kama kweli ana nia?
Kuna watu wanateseka kuyafata maji kilometa kadhaa halafu rais anagawagawa hela za kununua magoli si matumizi mabaya ya pesa za umma haya?
Kuna mfuko wa rais, huo hata kuhojiwa hauhojiwi matumizi yake.Mi nashindwa kuelewa rais anapata wapi pesa za kugawa kwa marafiki, jamaa, viongozi wa dini, wasanii, na machawa wake
Nasema hivyo kwasababu niliona juzi kamnunulia kiongozi wa dini moja hivi gari ya milioni 100
Tuliona anavyomwaga pesa kule kwa mwamposa na nabii Suguye
Mara akampelekea rafiki yake mwimba taarab mwanahawa ally milioni 10 pamoja na kumuandalia Tamasha la mamilioni
Mara katoa hela yake kagawa bodaboda za bilioni 64.
Huyu huyu rais hizi pesa za kugawagawa anatoa wapi?Msije mkanijibu rais ana marafiki, msije mkanijibu ni mshahara wake.
Kama ni pesa za umma huu ni ufisadi na Rushwa, haiwezekani mapesa yote hayo anayagawa tu mara kununua magoli.
Rais Samia angepungukiwa na nini hizo fedha anazomwaga angewekeza kwenye miradi ya wananchi wake kwa mfano?
Hayo mapesa yangetosha kuchimba visima vingi tu kumaliza kero za maji
Yangenunua madawati ya kutosha tu
Yangeboresha huduma kwenye vituo vya afya
Maeneo mengi tu Dar es Sallam kuna shida za maji kuna sehem zimeinuka huko maji huwa hayapandi, kwanini asingewapelekea visima kama kweli ana nia?
Kuna watu wanateseka kuyafata maji kilometa kadhaa halafu rais anagawagawa hela za kununua magoli si matumizi mabaya ya pesa za umma haya?
Anatafuta kuungwa mkono kwa mbinde 2025 ni ngumu sanaMi nashindwa kuelewa rais anapata wapi pesa za kugawa kwa marafiki, jamaa, viongozi wa dini, wasanii, na machawa wake
Nasema hivyo kwasababu niliona juzi kamnunulia kiongozi wa dini moja hivi gari ya milioni 100
Tuliona anavyomwaga pesa kule kwa mwamposa na nabii Suguye
Mara akampelekea rafiki yake mwimba taarab mwanahawa ally milioni 10 pamoja na kumuandalia Tamasha la mamilioni
Mara katoa hela yake kagawa bodaboda za bilioni 64.
Huyu huyu rais hizi pesa za kugawagawa anatoa wapi?Msije mkanijibu rais ana marafiki, msije mkanijibu ni mshahara wake.
Kama ni pesa za umma huu ni ufisadi na Rushwa, haiwezekani mapesa yote hayo anayagawa tu mara kununua magoli.
Rais Samia angepungukiwa na nini hizo fedha anazomwaga angewekeza kwenye miradi ya wananchi wake kwa mfano?
Hayo mapesa yangetosha kuchimba visima vingi tu kumaliza kero za maji
Yangenunua madawati ya kutosha tu
Yangeboresha huduma kwenye vituo vya afya
Maeneo mengi tu Dar es Sallam kuna shida za maji kuna sehem zimeinuka huko maji huwa hayapandi, kwanini asingewapelekea visima kama kweli ana nia?
Kuna watu wanateseka kuyafata maji kilometa kadhaa halafu rais anagawagawa hela za kununua magoli si matumizi mabaya ya pesa za umma haya?
Chanzo cha pesa za mfuko huo ni kipi?Kuna mfuko wa rais, huo hata kuhojiwa hauhojiwi matumizi yake.
1. Anachotewa Hazina kama njugu tu!
2. Mikopo huwa ni kwa ajili ya migawo tu lengo ni 2025
3. Waarabu wamepania kulinunua litanganyika na mambuga yake, madini yake, maji yake, milima yake na kila kitu. Wanampa kila kitu! mtashuhudia chopper mpya zinaruka kwenye kampeni subirini! Kuna chawa makandarasi walisetiwa wakaivaa ni uwongo. Mwendo wa yale mapikipiki, mabaiskeli, magari mapya polisi SUBIRINI. Tanganyika Gulioni!
Kuiangusha CCM inawezekana raia wakiamua. Tatizo ni nani au chama gani mbadala wa CCM kitashika hatamu?Ngoja uchaguzi uishe… salama yetu ni kuiangusha ccm
Unataka jibu gani Sasa?....kwani halipwi mishahara au hana marafiki?Huyu huyu rais hizi pesa za kugawagawa anatoa wapi?Msije mkanijibu rais ana marafiki, msije mkanijibu ni mshahara wake.