Pre GE2025 Ni wapi rais Samia anapata pesa za kugawagawa?

Pre GE2025 Ni wapi rais Samia anapata pesa za kugawagawa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tatizo uwezo wake wa kuongoza ni mdogo ndiyo maana hajui matumizi mazuri ya pesa za umma.Mtu ambaye aliupata urais Kwa dharura hawezi kuwa na akili ya kutumia vizuri rasilimali za umma.
 
Mi nashindwa kuelewa rais anapata wapi pesa za kugawa kwa marafiki, jamaa, viongozi wa dini, wasanii, na machawa wake

Nasema hivyo kwasababu niliona juzi kamnunulia kiongozi wa dini moja hivi gari ya milioni 100

Tuliona anavyomwaga pesa kule kwa mwamposa na nabii Suguye

Mara akampelekea rafiki yake mwimba taarab mwanahawa ally milioni 10 pamoja na kumuandalia Tamasha la mamilioni

Huyu huyu rais hizi pesa za kugawagawa anatoa wapi?Msije mkanijibu rais ana marafiki, msije mkanijibu ni mshahara wake.

Kama ni pesa za umma huu ni ufisadi na Rushwa, haiwezekani mapesa yote hayo anayagawa tu mara kununua magoli.

Rais Samia angepungukiwa na nini hizo fedha anazomwaga angewekeza kwenye miradi ya wananchi wake kwa mfano?

Hayo mapesa yangetosha kuchimba visima vingi tu kumaliza kero za maji

Yangenunua madawati ya kutosha tu

Yangeboresha huduma kwenye vituo vya afya

Maeneo mengi tu Dar es Sallam kuna shida za maji kuna sehem zimeinuka huko maji huwa hayapandi, kwanini asingewapelekea visima kama kweli ana nia?

Kuna watu wanateseka kuyafata maji kilometa kadhaa halafu rais anagawagawa hela za kununua magoli si matumizi mabaya ya pesa za umma haya?
QUALITIES OF GOOD EXAMPLES
1: Relevancy
2:Time Limit
3:Simple
4:Non bias
5: Motivational and Quriorisity
 
Kabisa
Sisiem wajanja sana,mama yao ameamua kuja na staili ya kuwapa rushwa viongozi wa dini maana sisiem wanajua hao watu Wana ushawishi na Wana wafuasi wengi sana wanaowasikiliza huko kwenye vilinge vya Ibada.

Si wanajua mama yao nyanya mbovu hauziki kwa wananchi alafu tunakaribia uchaguzi kesho kutwa tu hapo.

so,wameamua kuja na huo mkakati..akili mtu wangu.
 
Posho kias gani za kuagiza bodaboda za bilioni 60?
Hizo ni hela za mboga tu, hahahaa, kumbuka Rais akiongea tu anapewa posho

Vilevile wewe ukisema hallow makampuni ya simu yanapata pesa, je kwa watakao sema hallow Tanzania nzima makampuni ya simu yanaingiza kiasi gani?
 
Wizi mtupu
Kodi tunayolipa imefanyiwa utaalam wa namna ya kuikusanya, inapatikana kwa wingi sana.

Pia Rais akiwa ndio mkuu wa nchi analo fungu kubwa la kwake mwenyewe, sawa na alivyokuwa akigawa JPM huko njiani.
 
Uchawa tu
Kuboresha huduma na kujenga vituo vya afya, kuna pesa zake maalum kwa ajili ya masuala hayo na yanafanyika karibu nchi nzima muda huu.

Umeandika uzi wa malalamiko ambayo hayakusaidii kwa namna yoyote ile.
 
Kabisa
1. Anachotewa Hazina kama njugu tu!
2. Mikopo huwa ni kwa ajili ya migawo tu lengo ni 2025
3. Waarabu wamepania kulinunua litanganyika na mambuga yake, madini yake, maji yake, milima yake na kila kitu. Wanampa kila kitu! mtashuhudia chopper mpya zinaruka kwenye kampeni subirini! Kuna chawa makandarasi walisetiwa wakaivaa ni uwongo. Mwendo wa yale mapikipiki, mabaiskeli, magari mapya polisi SUBIRINI. Tanganyika Gulioni!
 
Mi nashindwa kuelewa rais anapata wapi pesa za kugawa kwa marafiki, jamaa, viongozi wa dini, wasanii, na machawa wake

Nasema hivyo kwasababu niliona juzi kamnunulia kiongozi wa dini moja hivi gari ya milioni 100

Tuliona anavyomwaga pesa kule kwa mwamposa na nabii Suguye

Mara akampelekea rafiki yake mwimba taarab mwanahawa ally milioni 10 pamoja na kumuandalia Tamasha la mamilioni

Mara katoa hela yake kagawa bodaboda za bilioni 64.
Huyu huyu rais hizi pesa za kugawagawa anatoa wapi?Msije mkanijibu rais ana marafiki, msije mkanijibu ni mshahara wake.

Kama ni pesa za umma huu ni ufisadi na Rushwa, haiwezekani mapesa yote hayo anayagawa tu mara kununua magoli.

Rais Samia angepungukiwa na nini hizo fedha anazomwaga angewekeza kwenye miradi ya wananchi wake kwa mfano?

Hayo mapesa yangetosha kuchimba visima vingi tu kumaliza kero za maji

Yangenunua madawati ya kutosha tu

Yangeboresha huduma kwenye vituo vya afya

Maeneo mengi tu Dar es Sallam kuna shida za maji kuna sehem zimeinuka huko maji huwa hayapandi, kwanini asingewapelekea visima kama kweli ana nia?

Kuna watu wanateseka kuyafata maji kilometa kadhaa halafu rais anagawagawa hela za kununua magoli si matumizi mabaya ya pesa za umma haya?
Kiongozi ukiwa na bei matajiri wanakununua ili utakapokuwa madarakani serikali yako ikae mifukoni mwao.
 
Ngoja uchaguzi uishe… salama yetu ni kuiangusha ccm
 
Mi nashindwa kuelewa rais anapata wapi pesa za kugawa kwa marafiki, jamaa, viongozi wa dini, wasanii, na machawa wake

Nasema hivyo kwasababu niliona juzi kamnunulia kiongozi wa dini moja hivi gari ya milioni 100

Tuliona anavyomwaga pesa kule kwa mwamposa na nabii Suguye

Mara akampelekea rafiki yake mwimba taarab mwanahawa ally milioni 10 pamoja na kumuandalia Tamasha la mamilioni

Mara katoa hela yake kagawa bodaboda za bilioni 64.
Huyu huyu rais hizi pesa za kugawagawa anatoa wapi?Msije mkanijibu rais ana marafiki, msije mkanijibu ni mshahara wake.

Kama ni pesa za umma huu ni ufisadi na Rushwa, haiwezekani mapesa yote hayo anayagawa tu mara kununua magoli.

Rais Samia angepungukiwa na nini hizo fedha anazomwaga angewekeza kwenye miradi ya wananchi wake kwa mfano?

Hayo mapesa yangetosha kuchimba visima vingi tu kumaliza kero za maji

Yangenunua madawati ya kutosha tu

Yangeboresha huduma kwenye vituo vya afya

Maeneo mengi tu Dar es Sallam kuna shida za maji kuna sehem zimeinuka huko maji huwa hayapandi, kwanini asingewapelekea visima kama kweli ana nia?

Kuna watu wanateseka kuyafata maji kilometa kadhaa halafu rais anagawagawa hela za kununua magoli si matumizi mabaya ya pesa za umma haya?
Kuna mfuko wa rais, huo hata kuhojiwa hauhojiwi matumizi yake.
 
Mi nashindwa kuelewa rais anapata wapi pesa za kugawa kwa marafiki, jamaa, viongozi wa dini, wasanii, na machawa wake

Nasema hivyo kwasababu niliona juzi kamnunulia kiongozi wa dini moja hivi gari ya milioni 100

Tuliona anavyomwaga pesa kule kwa mwamposa na nabii Suguye

Mara akampelekea rafiki yake mwimba taarab mwanahawa ally milioni 10 pamoja na kumuandalia Tamasha la mamilioni

Mara katoa hela yake kagawa bodaboda za bilioni 64.
Huyu huyu rais hizi pesa za kugawagawa anatoa wapi?Msije mkanijibu rais ana marafiki, msije mkanijibu ni mshahara wake.

Kama ni pesa za umma huu ni ufisadi na Rushwa, haiwezekani mapesa yote hayo anayagawa tu mara kununua magoli.

Rais Samia angepungukiwa na nini hizo fedha anazomwaga angewekeza kwenye miradi ya wananchi wake kwa mfano?

Hayo mapesa yangetosha kuchimba visima vingi tu kumaliza kero za maji

Yangenunua madawati ya kutosha tu

Yangeboresha huduma kwenye vituo vya afya

Maeneo mengi tu Dar es Sallam kuna shida za maji kuna sehem zimeinuka huko maji huwa hayapandi, kwanini asingewapelekea visima kama kweli ana nia?

Kuna watu wanateseka kuyafata maji kilometa kadhaa halafu rais anagawagawa hela za kununua magoli si matumizi mabaya ya pesa za umma haya?
Anatafuta kuungwa mkono kwa mbinde 2025 ni ngumu sana
 
1. Anachotewa Hazina kama njugu tu!
2. Mikopo huwa ni kwa ajili ya migawo tu lengo ni 2025
3. Waarabu wamepania kulinunua litanganyika na mambuga yake, madini yake, maji yake, milima yake na kila kitu. Wanampa kila kitu! mtashuhudia chopper mpya zinaruka kwenye kampeni subirini! Kuna chawa makandarasi walisetiwa wakaivaa ni uwongo. Mwendo wa yale mapikipiki, mabaiskeli, magari mapya polisi SUBIRINI. Tanganyika Gulioni!
 
Huyu huyu rais hizi pesa za kugawagawa anatoa wapi?Msije mkanijibu rais ana marafiki, msije mkanijibu ni mshahara wake.
Unataka jibu gani Sasa?....kwani halipwi mishahara au hana marafiki?
 
Back
Top Bottom