[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] na mimi jamani
yes, itabidi nizichange kabla hye kyo hajawahiwa tena na vijanadume vya seoul,
nitakupeleka Congo ukapambane na madini ya kagame[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] na mimi jamani
Nakulaga nikifika hatua ya kutokupumua naanza kutaja mkosa yangu!,natubu naanza na kulaumu hata nzi akipita karibu yangu naona Kama Israeli kaja nichukua lkn still nipo😅Ndyo vizuri tukikutana wote tuna appetite,hakiachwi kitu labda mifupa tu ya samaki,😀
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] na mimi jamani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe ndio ulimvunjia ndoa maana haiwezekani mtu kaachika tu na wewe unaanza kummendeayes, itabidi nizichange kabla hye kyo hajawahiwa tena na vijanadume vya seoul,
Andika pointi kumi kwa nini unataka kwenda[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] na mimi jamani
ishu kama hizo uzione kwenye televisheni tu ila kiuhalisia huzalisha maumivu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe ndio ulimvunjia ndoa maana haiwezekani mtu kaachika tu na wewe unaanza kummendea
Sent using Jamii Forums mobile app
Moja ya raha za duniani ni kwenda sehemu ambayo hujawahi kwenda kabla, kuona watu wapya na kujifunza mambo mbalimbali. Safari huweza kuwa ya ndani au nje ya mipaka ya nchi uliyopo
Kikwazo cha wengi kutosafiri huwa ni kukosa uwezo wa kifedha na pia muda wa kuondoka katika shughuli za kiuchumi na kijamii
Endapo ukiwa na pesa na muda ungependa kusafiri kwenda wapi?
[emoji16][emoji16][emoji16] mwache atulie kwanza hata maumivu ya kuachwa hayajapoaishu kama hizo uzione kwenye televisheni tu ila kiuhalisia huzalisha maumivu.
umpendaye anaolewa au kuoa, unabaki kutoa pongezi na zawadi za kinafiki.
painful heart..
namsubiria mpaka afikishe miaka 42....[emoji16][emoji16][emoji16] mwache atulie kwanza hata maumivu ya kuachwa hayajapoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda mkuu unatia nae kambi ngorongoro kabisa kulekaratu- naambiwa kuna mabinti wazuri wa kiiraq na sio wachoyo... hela ipo tatzo muda!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli???
Ngoja nkuletee kubwa lao sasaMie nina sehemu nyingi sana natamani kuenda aisee nikizitaja hapa haziwezi isha
Nakusalimu