Ni wasanii wapi wa muziki unaowajua wanalazimisha fani?

  • Luludiva
  • Abdukiba
  • Amberlulu(ila amejua jinsi ya kunogesha wimbo wake wa 'watakoma' ni mzuri)
  • Shilole
  • Snura
  • Harmonize
  • Bonge la nyau
  • Mensenselekta
  • Pham dafa
  • Shetta(huyu arudie style yake aliyoanza nayo)
  • Hemedi PhD (hajui kuimba ila nyimbo zake ni nzuri nazikubali)
 
List yangu ni hii;

Ney wa mitego.
Queen darlin.
Abdu kiba.
Snura.
Shilole.
Baba levo

Bila kuwasahau na waimba singeli wote
Snura sawa kabisa, analazimisha fani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…