Mr.Wenger
JF-Expert Member
- Nov 20, 2014
- 2,569
- 6,165
Na wewe hiyo 3 ndo umetupeleka msituni kabisaMkuu hyo 3 umetupeleka chaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe hiyo 3 ndo umetupeleka msituni kabisaMkuu hyo 3 umetupeleka chaka
King Crazy Gk hit songsadam mchomvu
nyandu tozi
crazy Gk
nitakuja na list kamili uchunguzi ukikamilika
Huyo ndo mfalme wa kanda ya ziwa acha kabisa utawaudhi watu, wenyewe wakisikiliza hizi pini burudani tosha,Mbona mnamsahau huyu bwana mdogo wa Musoma anaejiita Best Naso
Najua mkuu nlikuwa nashangaa tu umetaja majina yake yote ya sifa... Me mwenyewe sijawahi kumwelewa, na kuna mwingine yule kwenye ndege tunduni aliimba "changa la macho vibaya vibaya mwaka huu watajenga barabara" [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sijui naniAcha kukurupuka mzee...hilo ndo jina lake anavojiita...Sijamsifia. wanaomjua wameelewa.
Itakuwa mtoa mada ndo hajui radha ya mziki mzuri msechu yuko poa, hasa kwenye ule wimbo aliimba na Amini alifanya poa sanaMsechu yupo vizuri
Duuh kwa kumtoa harmorapa Hawa wengine una chuki binafsi naoAli Kiba, Lady JayDee, Afande Sele na Harmorapa
Mkuu umemuonea hiki kichwa asee20 percent
Wengine mnatie aibu kama hamjui mziki kalaleni [emoji23] [emoji23] [emoji23] hadi jux??1. Jux
2. Baraka
3. Vanesa
Sijawahi kuwakubali na nyimbo hata moja
Yap. Unaitwa nyota ni wimbo mzuri Sana.mtoa mada amezingua kumtaja msechu kwamba hajui mziki.Itakuwa mtoa mada ndo hajui radha ya mziki mzuri msechu yuko poa, hasa kwenye ule wimbo aliimba na Amini alifanya poa sana
Ha ha Jamaa ametia aibu aisee. Jux yupo vizuri piaWengine mnatie aibu kama hamjui mziki kalaleni [emoji23] [emoji23] [emoji23] hadi jux??
Sidhani kama anaendelea na mziki. Naona alishtuka mapema sio fani yakeHemedi aisee