Ni wasanii wapi wa muziki unaowajua wanalazimisha fani?

Ni wasanii wapi wa muziki unaowajua wanalazimisha fani?

1, Gigy money hajui anatuonyesha jinsi ya kutikisa makalio
2, Harmorappa comedian
3, shilole aibu tuu anafanya
4,snura hawajatofatiana na shilole Sana'a waanzishe madarasa ya kufundisha unyago
5,Abdukiba, jina la kaka linamueka mjini
6,Queen Darling ,jina la kaka linampa fursa
7,Ney wa mitego , hiphop michambo
8, luludiva simwelewi
9, Nuh mziwanda
10, chege na tunda man ,,sauti zinakwaruza tuu sema ujumbe wa nyimbo zao
Hiyo 10 [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila mm sauti ya chege naipendaga hivohivo
 
1, Gigy money hajui anatuonyesha jinsi ya kutikisa makalio
2, Harmorappa comedian
3, shilole aibu tuu anafanya
4,snura hawajatofatiana na shilole Sana'a waanzishe madarasa ya kufundisha unyago
5,Abdukiba, jina la kaka linamueka mjini
6,Queen Darling ,jina la kaka linampa fursa
7,Ney wa mitego , hiphop michambo
8, luludiva simwelewi
9, Nuh mziwanda
10, chege na tunda man ,,sauti zinakwaruza tuu sema ujumbe wa nyimbo zao
Chege huwa ana ujumbe aicee
 
Shishi
Snura
Malaika
Nay wa mitego
Queen darling
Hemedi PhD
Jokate(hajui chochote)
Abdukiba
 
Msechu ni mwanamziki ameanzia makanisani ni mtalaam wa music tunda man ni fundi wa kuimba sema hapa Kati kalega kidogo harmorapa kuimba hajui ila anajitaidi kutafuta kiki
 
Habarini Wadau,

Ni ukweli ulio wazi kuwa wapo wanaoitwa wanamuziki hapa bongo ila hawana sifa hizo, kifupi wanalazimisha sana uanamuziki

Kiukweli zaidi kama wangekuwepo nchi zinazojua kuchuja karama au vipaji vya watu kama USA basi wasingekuwepo kabisa kwenye orodha ya wanamuziki hasa waimbaji.

Mimi nitawataja wachache wafuatayo, ambao huwa hawaimbi ila wanaongea tu, na kama wakiimba basi ujue wameshirikishwa au wamebebwa.

Hao ni:-

1) Tunda man

2) Ney wa Mitego

3) Peter Msechu


Ongezea wengine.
KR MULLA aka UNDER GROUND MKUBWA
untitled.jpg
 
Japo umesema hajui muziki lakini mi hizi ngoma nazikubali sana,
1.Tundaman ft. Chid Benz-Neilah
2.Tundaman & JI- Nipe Ripoti
Hili jamaa lenyewe ndo halijui mziki ndomana limemtaja tunda na msechu
 
Back
Top Bottom