Ni wasanii wapi wa muziki unaowajua wanalazimisha fani?

Huwa nashindwa kumwelezea nandy,!sijui shida ni nini,siwezi sema hana sauti nzuri,,!!ila kusema anajua kuimba ama hajui ni mtihani
Nkama ana aina Fulani ya uimbaji wa kufundishwa darasani.
Ni mawazo yangu
Kuna Nandy. Hajui kupangilia namna ya kuimba. Anapayuka tu mara kapanda mara kashuka. Hata ku-harmonize kwake hakuvutii.
Anahitaji darasa la hali ya juu ajue kutumia kile kisauti chake.
 
Bila shaka we ni shabiki wa soka si muziki
 
Piter msecho yupo vizuri.siset p bora alivyo acha hamorapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…