Ni Waziri gani wa fedha anaeongoza kwa kukopa Mashirika ya Kimataifa tangu tupate uhuru?

Ni Waziri gani wa fedha anaeongoza kwa kukopa Mashirika ya Kimataifa tangu tupate uhuru?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Ninaomba kufahamu Waziri wa Fedha aliyewahi kukopa sana toka tupate uhuru.

Tupate pia na historia ya Waziri wa Fedha aliyekopa kidogo sana.

Tufahamu kwanini huyo aliyekopa sana alikubaliwa akaaminiwa akakopeshwa sana, na huyu aliyekopa kidogo alitumia mbinu zipo kuendesha serikali na miradi ya maendeleo.

Ni Waziri gani wa Fedha aliyekuwa na Sera za Kiuchumi ambazo ni sound na yupi Sera zake hazikueleweka.

Unadhani kwa sasa tunahitaji Waziri wa Fedha wa aina gani kukabiliana na msukosuko wa kiuchumi uliopo? Je, Sera za aina gani zitatuvusha hapa tulipo?
 
Ninaomba kufahamu Waziri wa Fedha aliyewahi kukopa sana toka tupate uhuru.

Tupate pia na historia ya Waziri wa Fedha aliyekopa kidogo sana.

Tufahamu kwanini huyo aliyekopa sana alikubaliwa akaaminiwa akakopeshwa sana, na huyu aliyekopa kidogo alitumia mbinu zipo kuendesha serikali na miradi ya maendeleo.

Ni Waziri gani wa Fedha aliyekuwa na Sera za Kiuchumi ambazo ni sound na yupi Sera zake hazikueleweka.

Unadhani kwa sasa tunahitaji Waziri wa Fedha wa aina gani kukabiliana na msukosuko wa kiuchumi uliopo? Je, Sera za aina gani zitatuvusha hapa tulipo?
hakuna waziri wa fedha duniani aliewahi kukopa ispokua kwa niaba ya serkali.
na hivyo basi, serikali ndio hukopa na huwakilishwa na waziri wa fedha, ili kusudi fedha za mkopo huo zitumike gharamia shughuli na huduma mabalimbali za kijamii kwa masjlahi mapana ya nchi.
Asante.
 
Back
Top Bottom