masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
- Thread starter
- #241
Mada hii ni mahsusi kwa kufikiria mambo yanayofanyika kwa upana wake!Kuna vitu unaweza kufikiri kuhusu Samia mpaka ukakufuru Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mada hii ni mahsusi kwa kufikiria mambo yanayofanyika kwa upana wake!Kuna vitu unaweza kufikiri kuhusu Samia mpaka ukakufuru Mungu
Kuna madini?Ni kweli pia hapa Kizimkazi kuna fukwe nzuri sana zinazovutia watalii.
Tunaomba nasi watu wa kizimkazi tuhamishwe tuhamie Msomera ili zijengwe hotel nzuri na fukwe ziboreshwe na kuwa nzuri na bora kwa watalii.
Mada hii inaonekana ya kijinga jinga , lakini ni wake up call.Daah huyu Rais wetu maamuzi yake anayajua yeye na Mungu wake.
Mada hii inaonekana ya kijinga jinga , lakini ni wake up call.
Wewe imefikiria matokeo, mimi nimefikiria chanzo root causeMada hii ni mahsusi kwa kufikiria mambo yanayofanyika kwa upana wake!
Na population control ni muhumu sana piaMimi binafsi siamini kwenye kuhamisha watu na kuwatoa kwenye makazi yao, ningetamani zaidi hiyo nguvu ingeelekezwa zaidi kwenye ELIMU ya utunzaji wa hizo maliasili..!!
tukisema tuwahamishe tutahamisha wepi na kuacha wepi..? Sote tunafahamu kuwa asilimia kubwa sana ya nchi yetu imezungukwa na ardhi yenye kila aina ya utajiri, tutafika pahala itabidi tuhamishe wakazi wa nchi nzima sasa..!
Ila ukhalisia unabaki pale pale hakuna nguvu yoyote inawekwa kwenye kulinda vivutio vyetu, tunataka tu faida bila kutengeneza mazingira madhubuti ya kulinda mazingira yetu..!!
Usinifanye niandike gazeti kwa uchungu mkuu kwa yanayotendeka..!!
absolutely...!!Na population control ni muhumu sana pia
Hauko mbali na ukweli.Mada hii inaonekana ya kijinga jinga , lakini ni wake up call.
Ho watalii a vibutio vya asili wakianza kuja Mbeya sijui tukimbilie Malawi?View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanaokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomera , Kilindi Tanga.
Kama imewezekana Ngorongoro, huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.
NB
Sitaki matusi.
View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanaokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomera , Kilindi Tanga.
Kama imewezekana Ngorongoro, huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.
NB
Sitaki matusi.