Ni wazo tu: Wachaga wahamishwe maeneo ya Mlima Kilimanjaro!

Ni wazo tu: Wachaga wahamishwe maeneo ya Mlima Kilimanjaro!

View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanaokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomera , Kilindi Tanga.

Kama imewezekana Ngorongoro, huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.

NB
Sitaki matusi.
Hi wachaga wako ndani ya hifadhi ya kinapa ?
 
View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanaokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomera , Kilindi Tanga.

Kama imewezekana Ngorongoro, huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.

NB
Sitaki matusi.
Na wazanzibari wahamishwe Comoro kupisha utalii endelevu
 
Labda kwenu kumekauka

Sehemu huitazami lazima kukauke

Kwetu kuna mifugo, kuna kijani kama chote
View attachment 3075719
Juzi nimechinja mbuzi nane, nilipunguza maana wako wengi

Wazee wa kisusio mmeelewa kitu. Though situmii kabisa...

View attachment 3075721
Wewe utakua umezaliwa juzi

Kama una miaka zaidi ya 30 na ulizaliwa kijijini Moshi ukakulia huko huko kwa miaka yote,uoto uliokuwepo 30 years ago sio wa leo

Nearly 50% ya ule uoto umepotea

Kwa picha yako uliyodiriki kuweka,naona kahawa na mgomba umechoka kinoma halafu unajitia eti una "kijani"!

What a joke!

Kinachomaliza Moshi ni "vihamba" system kimekula ardhi yote ya migomba na kahawa na kua essentially makazi,tena makazi duni maana kila alie na kazi lazima apeleke tofali,what a shame!
 
umetumwa na mabeberu kutuhadaa wachaga😃😃😃
wazee wamesema leteni mkandarasi chimbeni mlima wenu mkaweke tanga
 
View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanaokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomera , Kilindi Tanga.

Kama imewezekana Ngorongoro, huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.

NB
Sitaki matusi.
Kwanza hiyo picha ya mlima siyo uhalisia.
Pili serikali ya ccm siku ikibaini kuna madini yenye thamani huko milimani bila shaka ufutaji na uhamisho utafanywa!

NB: Tayari pale Tindigani KIA washafanya.
 
Ingekua hiyo fursa waliyopata wamasai imeenda kwa wachaga ungekua wote wako msomera wanasubiri nyumba zao ziishe wangejihamisha wenyewe wanajua kucheza na fursa.
 
View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanaokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomera , Kilindi Tanga.

Kama imewezekana Ngorongoro, huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.

NB
Sitaki matusi.
Kwamba kila ifikapo mwezi December misafara ya Wachaga inakuwa inaelekea Mahenge na Ifakara au Rufiji?
 
View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanaokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomera , Kilindi Tanga.

Kama imewezekana Ngorongoro, huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.

NB
Sitaki matusi.
Naunga mkono hoja, infact napendekeza Watanzania wote tuhamishwe tupelekwe jangwa la SAHARA ili kupisha vivutio vya kitalii vilivyotapakaa kila mahali nchini visiharibike.
 
View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanaokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomera , Kilindi Tanga.

Kama imewezekana Ngorongoro, huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.

NB
Sitaki matusi.
Ni kweli pia hapa Kizimkazi kuna fukwe nzuri sana zinazovutia watalii.

Tunaomba nasi watu wa kizimkazi tuhamishwe tuhamie Msomera ili zijengwe hotel nzuri na fukwe ziboreshwe na kuwa nzuri na bora kwa watalii.
 
Kunaongeza kura!!?kutaongeza uchumi!!?think logically!!

Ngoma ya wamasai haijatulia unataka uanzishe nyingine!!
Acheni hizo wakuu!
 
Back
Top Bottom