Ni wilaya gani ambayo unadhani baada ya miaka 15 itakuwa Manispaa?

Ni wilaya gani ambayo unadhani baada ya miaka 15 itakuwa Manispaa?

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Hellow wakuu,

Hili ni swali muhimu sana kwa watu wenye mipamgo mirefu, pia linanufaisha kiuchumi kwa mtu mjanja.

Mfano mwaka 2007 wilaya ya KAHAMA ilikuwa ni wilaya ya kawaida sana maeneo mengi ya pembeni ilikuwa ni vichaka leo hii miaka 15 imepita hakuna tena vichaka ni majumba tu wajanja walioona mbali wakanunua maeneo makubwa leo hii wanauza kwa bei kubwa sana

Je, unadhani ni wilaya gani baada ya miaka 15 itakuwa manispaa? Na ni kwanini unadhani hivyo?

Karibuni
 
Japo sijatembea wilaya yingi Ila kwa kule Kusini hakuna wilaya iliyo juu zaidi ya MASASI.. So i can say that Masasi is among of the best district for now na inastahili kuwa Municipal kwa siku chache mbeleni
 
Soko la tandale unalijua Basi upande wa kushoto Kama unakuja ndanda...baada ya kibo kuungua Moto hii ndo Sasa Ina kick masasi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Oooh kumbe, Masasi nafahamu maeneo machache tu sijazunguka kiviiiile, Mkuti, jida,kaumu, Uwanja wa fisi Mkomaindo, Mbuyu(Huku ndo makao makuu ya Wilaya, sehumu zingine nimepita but sizifahamu kwa Majina
 
Back
Top Bottom