FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,169
- 13,455
Ni vijiji vichache sana ambavyo having hayo mambo unayosema kwa Tanzania yetuNimekaa luangwa na kulima tikiti huko nilichoona huko ni uchawi na uzinzi basi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni vijiji vichache sana ambavyo having hayo mambo unayosema kwa Tanzania yetuNimekaa luangwa na kulima tikiti huko nilichoona huko ni uchawi na uzinzi basi...
Upo Kibaha nini?Kibaha ambayo kwa sasa wapo waheshimiwa wengi,
Natamani pakue sasa
Hahahahah..! Kweli mkuu vipi wakazi wa Masasi hawana ubaguzi mfano umefungua biashara wanaacha kununua kwasababu ya ubaguzi, na kupigana chuma uelete..?Uzinzi kila sehemu upo kuanzia tunduru,namungo, mnazimmoja mingoyo mpk Lindi town so inategemea na Tabia zako TU km huna kampani na wazinzi Basi hutakuwa mmoja wao
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Wilaya zote za Dar es Salaam ni Manispaa. Rekebisha kauli yakoSema mji, wilaya nzima haiwezi kuwa manispaa.
Umasikini ni janga la kitaifa ila linganisha hali ya maisha kati ya vijiji vya mikoa ya kati, kaskazini ulinganishe na vijiji vya mikoa ya kusini utapata jibu mkuuUnachekesha mbona miaka yote wakulima wa korosho mtwara na Lindi ni maskini wa kutupwa tu.
Ruangwa kumejaa uchawi sana kama siyo huyo Majaliwa pangekuwa wapi leo hiiNimekaa luangwa na kulima tikiti huko nilichoona huko ni uchawi na uzinzi basi...
Hahaha nanganga nilishawahi kufanya project fulani mwaka 2020 hivyo napajua vizuri sanaNimewahi kuishi maeneo ya Nanganga hapo, nilikuwa nafanya kilimo cha tikiti ila nilipigwa ni wachawi hatari na uzinzi ndiyo wenyewe.
Masasi hakuna hayo mamboHahahahah..! Kweli mkuu vipi wakazi wa Masasi hawana ubaguzi mfano umefungua biashara wanaacha kununua kwasababu ya ubaguzi, na kupigana chuma uelete..?
Kondoa bado sanaaChamwino
Kondoa
Wachawi hatari sana..!Umasikini ni janga la kitaifa ila linganisha hali ya maisha kati ya vijiji vya mikoa ya kati, kaskazini ulinganishe na vijiji vya mikoa ya kusini utapata jibu mkuu
Ruangwa kumejaa uchawi sana kama siyo huyo Majaliwa pangekuwa wapi leo hii
Hahaha nanganga nilishawahi kufanya project fulani mwaka 2020 hivyo napajua vizuri sana
Kwanza kabisa ndiyo kituo cha maedereva wa malori kuchukua dadapoa, pana kiasi kikubwa cha maambukizi ya VVU
Uchawi ndiyo hatari sasa, nilitafuta chumba nihamie lakini nafsi ikakataa, nilikubali kuchoma nauli kutokea masasi kila siku mpaka nilipomaliza activities zangu
Good..!Masasi hakuna hayo mambo
Ni mji ambao yeyote anaweza kufanya biashara
Asilimia kubwa ya wakazi wa eneo la mji ni wageni siyo makua wala yao hivyo hakuna hata chembe ya ubaguzi
mkuu watu wa dar ndio wanazungusha pesa ya korosho kule so pesa inatolewa dar inapelekwa kule kuna mfumo unaitwa kangomba kipindi magufuli alivyopiga pini korosho nikawa naona watu wengi bar wanalalamika kuhusu kuharibiwa dili hapo ndio nikajua biashara ya korosho ilikua kubwa kiasi ganiUnachekesha mbona miaka yote wakulima wa korosho mtwara na Lindi ni maskini wa kutupwa tu.
michongo ya kukwepa kununua duka la fulani wanayo wachaga tu kule moshi jamaa wana roho mbaya sana wakati mikoa mingine tunawapokea fresh tuMasasi hakuna hayo mambo
Ni mji ambao yeyote anaweza kufanya biashara
Asilimia kubwa ya wakazi wa eneo la mji ni wageni siyo makua wala yao hivyo hakuna hata chembe ya ubaguzi
Okay! Ila sasa watu huko bado ni masikini sana..!mkuu watu wa dar ndio wanazungusha pesa ya korosho kule so pesa inatolewa dar inapelekwa kule kuna mfumo unaitwa kangomba kipindi magufuli alivyopiga pini korosho nikawa naona watu wengi bar wanalalamika kuhusu kuharibiwa dili hapo ndio nikajua biashara ya korosho ilikua kubwa kiasi gani
No KAHAMA..!Katoro
Kasulu
Nzega
Igunga
Masasi
Mbinga
Ifakara
Mafinga
Manyoni
Kibaha
Wachagga ni washenzi sana..!michongo ya kukwepa kununua duka la fulani wanayo wachaga tu kule moshi jamaa wana roho mbaya sana wakati mikoa mingine tunawapokea fresh tu