Naongeza makambakoTunduma
Mafinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naongeza makambakoTunduma
Mafinga
🖕bonga..!Ongezea Kitombise, jitombashisho na @nantombe mushi
Bila kuweka Sengerema hiyo orodha ni batili.Katoro
Kasulu
Nzega
Igunga
Masasi
Mbinga
Ifakara
Mafinga
Manyoni
Kibaha
Tunduma kuna nini cha ajabu acheni ujingana upumbavu, Manispaa inayofuata ni Sengerema.Tunduma itakuwa ya kwanza kwenye hii list!
Hiyo makambako ina nini zaidi ya kulima parachichi na uchawi tu hakuna cha ziada.Naongeza makambako
Kufikiria kwako si kumeishia hapo endelea kuamini unavoamini ila ujue makambako,tunduma ,mafinga Ni miji ambayo kwa Sasa Ni Moto sana na ujue parachichi kwa makambako Ni zao lililoanza hivi karibuni makambako imekuwa kutokana na biashara na si vinginevyo Kama hujui historia ya sehemu kaa kimya na sengerema yako ambayo Ni sawa na vimiji vinavyo ibuka pemben mwa mji wa makambako Kama ilembula ,nyororo,igowole ,na mtwangoHiyo makambako ina nini zaidi ya kulima parachichi na uchawi tu hakuna cha ziada.
Ruangwakwa watu wenye jicho la uwekezaji hii mada inawafaa sana
Kuna maajabu gani sengerema kuzidi tunduma.Bila kuweka Sengerema hiyo orodha ni batili.
Hapana tofauti na chato panakuzwa tu kisa pm katokea huko..siku akikaa benchi huwezi pasikia huko..pamenyata sana.Ruangwa
Manispaa ya kinondoni kwa mfano ni wilaya ya kinondoniSema mji, wilaya nzima haiwezi kuwa manispaa.
Sengerema huwezi kuifananisha na vitu vya kijinga ata siku moja.Kufikiria kwako si kumeishia hapo endelea kuamini unavoamini ila ujue makambako,tunduma ,mafinga Ni miji ambayo kwa Sasa Ni Moto sana na ujue parachichi kwa makambako Ni zao lililoanza hivi karibuni makambako imekuwa kutokana na biashara na si vinginevyo Kama hujui historia ya sehemu kaa kimya na sengerema yako ambayo Ni sawa na vimiji vinavyo ibuka pemben mwa mji wa makambako Kama ilembula ,nyororo,igowole ,na mtwango
Sengerema baada ya miaka 5 itakuwa jiji.Kuna maajabu gani sengerema kuzidi tunduma.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiokote unaokota wapi huu ujinga?😂😂😂😂Bagamoyo Itakuwa mkoa Kabisaa! Maana Dar Ishakuwa Ndogo..
Kitombile Unafanyiwa wapi huu Upuuzi?Kiokote unaokota wapi huu ujinga?😂😂😂😂