Ni wilaya gani ambayo unadhani baada ya miaka 15 itakuwa Manispaa?

Ni wilaya gani ambayo unadhani baada ya miaka 15 itakuwa Manispaa?

michongo ya kukwepa kununua duka la fulani wanayo wachaga tu kule moshi jamaa wana roho mbaya sana wakati mikoa mingine tunawapokea fresh tu

Wengine wanavyoongelea wachaga kwa chuki tu umeenda kuwekeza ukanyimwa eneo au umekuja kutoa stress za kuachwa hapa mbona wasomali wapemba na wahindi wapo na hakuna wakuwabuguzi sema hela huna bwege we.
 
Wengine wanavyoongelea wachaga kwa chuki tu umeenda kuwekeza ukanyimwa eneo au umekuja kutoa stress za kuachwa hapa mbona wasomali wapemba na wahindi wapo na hakuna wakuwabuguzi sema hela huna bwege we.
Wachagga ni watu wa hovyo kabisa, siyo wakuishi kwao hasa moshi ndiyo maana kimji chenu cha moshi kimedumaa miaka yenu.
 
Wachagga ni watu wa hovyo kabisa, siyo wakuishi kwao hasa moshi ndiyo maana kimji chenu cha moshi kimedumaa miaka yenu.

Kaukuze wewe sasa ukute unapotokea hakuna Hata maji unaleta chuki tu kwa wachaga dumbass!
 
mkuu watu wa dar ndio wanazungusha pesa ya korosho kule so pesa inatolewa dar inapelekwa kule kuna mfumo unaitwa kangomba kipindi magufuli alivyopiga pini korosho nikawa naona watu wengi bar wanalalamika kuhusu kuharibiwa dili hapo ndio nikajua biashara ya korosho ilikua kubwa kiasi gani
Biashara ya korosho ina chenga nyingi sana
Kuna wanufaika wengi sana hapo kati wanapiga hela vibaya mno kuliko mkulima

People who run the board Wako na utajiri usioelezeka
 
Wengine wanavyoongelea wachaga kwa chuki tu umeenda kuwekeza ukanyimwa eneo au umekuja kutoa stress za kuachwa hapa mbona wasomali wapemba na wahindi wapo na hakuna wakuwabuguzi sema hela huna bwege we.
Mkuu unajibu hoja au umeamua tu kumshambulia kifinga personally?
 
Biashara ya korosho ina chenga nyingi sana
Kuna wanufaika wengi sana hapo kati wanapiga hela vibaya mno kuliko mkulima

People who run the board Wako na utajiri usioelezeka
Korosho iko na hela sana..kipindi cha msimu wakorosho masasi kunajaa wageni sana..watu kibao madada poa usiseme..hata magari ya kusini lazima uweke booking hata siku 3 kabla ya safari..vinginevyo huwezi pata nafasi.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom