Mbona sionagi makocha weuzi wazee wakifundisha timu zetu hata hapa bongoKwenye soka hakuna uzee!! Ukizeeka ndo busara ya ukocha inazidi kuongezeka!! Inaendelea hivyo hadi nguvu za kutembea ziishe!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona sionagi makocha weuzi wazee wakifundisha timu zetu hata hapa bongoKwenye soka hakuna uzee!! Ukizeeka ndo busara ya ukocha inazidi kuongezeka!! Inaendelea hivyo hadi nguvu za kutembea ziishe!!
HahahahaBonge moja la kocha ,timu ikizidiwa anaingia mwenyewe uwanjani.
Sisi bango letu ni hiliView attachment 2819920
Mi bado najiuliza inamaana Hawa uto wameshapata ruhusa ya kuweka mabango yao hadi huku Zanzibar?
Hii kitu haikubaliki wanasimba wenzangu [emoji24]
Bongo raha sana.Ghafla nmejikuta nakumbuka hukuView attachment 2820065
Bongo raha sana.Ghafla nmejikuta nakumbuka hukuView attachment 2820065
Ulimbukeni tuView attachment 2819920
Mi bado najiuliza inamaana Hawa uto wameshapata ruhusa ya kuweka mabango yao hadi huku Zanzibar?
Hii kitu haikubaliki wanasimba wenzangu 😭
Hawawezi kukuelewa mkuu,inabidi aje mswahili Swahili ataiweza kazi ila akija na weledi anachemka kwa namna Mikia wanavyowewesekaHakuna kocha mzungu anayeweza kuivusha Simba ilipo kwa sasa
Unatudharau Sana yaani Simba wampe timu MorrocoWametafuta mzungu asiye na timu anayezulula tu mtaani wakaongea nae. Ifikie sehemu tuheshimu wazawa. Dili la viongozi kupiga Pesa ndefu kwa Mo limekaribia kutiki.
Huyu kocha hajawahi kuongoza timu yoyote ile kwa miaka miwili mfululizo. Anaishiaga nusu msimu.
Viongozi wanaweka siri ili watu wakute tu immo. Kaongoza timu nyingi miezi 4-6. Wanajua hatadumu na watagawana mawe kwenye kuvunja mkataba.
Far Rabat kamaliza nayo tu msimu kutokea katikati wakamtimua.
Bora timu Apewe mzawa kama Morroco, Mgunda au Baba Ester. Tujifunze kwa mamelode. Pistol au Ibenge kwa wakongo.
Ni.kocha wa timu ya Taifa ya botswanaSimba mrudisheni Gomes!! bila shaka keshapata cheti kinachokubalika!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Bonge moja la kocha ,timu ikizidiwa anaingia mwenyewe uwanjani.
Anatokea real madrid [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ghafla nmejikuta nakumbuka hukuView attachment 2820065
Hata wazawa hakuna wa kuivusha Simba ya sasa.Point ya maana sana hii.