Tetesi: Ni yaleyale mlete mzungu. Fernando Da Cruz kocha Mbovu eti ndio kocha mpya Simba, basi Viongozi hawajitambui

Tetesi: Ni yaleyale mlete mzungu. Fernando Da Cruz kocha Mbovu eti ndio kocha mpya Simba, basi Viongozi hawajitambui

View attachment 2819920
Mi bado najiuliza inamaana Hawa uto wameshapata ruhusa ya kuweka mabango yao hadi huku Zanzibar?
Hii kitu haikubaliki wanasimba wenzangu [emoji24]
Sisi bango letu ni hili
FB_IMG_1700042241994.jpg
 
Wametafuta mzungu asiye na timu anayezulula tu mtaani wakaongea nae. Ifikie sehemu tuheshimu wazawa. Dili la viongozi kupiga Pesa ndefu kwa Mo limekaribia kutiki.

Huyu kocha hajawahi kuongoza timu yoyote ile kwa miaka miwili mfululizo. Anaishiaga nusu msimu.

Viongozi wanaweka siri ili watu wakute tu immo. Kaongoza timu nyingi miezi 4-6. Wanajua hatadumu na watagawana mawe kwenye kuvunja mkataba.

Far Rabat kamaliza nayo tu msimu kutokea katikati wakamtimua.

Bora timu Apewe mzawa kama Morroco, Mgunda au Baba Ester. Tujifunze kwa mamelode. Pistol au Ibenge kwa wakongo.
Unatudharau Sana yaani Simba wampe timu Morroco
 
Back
Top Bottom