Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Hapo ni kombe la luzas, ijngekuwa klabu bingwa wangemjengea injinia wao mnara.Haijawahi Team yoyote, narudia Team yoyote kutoka Tanzania kufikisha Points KUMI NA TATU (13) ktk Group Stage ya Mashindano ya Vilabu Africa
Kwa kweli uto vichwa sijui huwa vinawaza nn
Yanga wenye akili wako 2 tu. Sidhani kama wameongezeka. Huu uzi wako unadhibitisha point ya msemaji wenu aliyeko kifungoniMangungu alisema sisi mashabiki wa makolo ni MBU MBU MBU[emoji1]
Mbu MBU MBU......mjifunze jinsi ya kushinda ugeniniHaijawahi Team yoyote, narudia Team yoyote kutoka Tanzania kufikisha Points KUMI NA TATU (13) ktk Group Stage ya Mashindano ya Vilabu Africa
Kwa kweli uto vichwa sijui huwa vinawaza nn
Record Ya Taifa [emoji122]
Record Ya Tanzania[emoji120]
Haijawahi Team yoyote, narudia Team yoyote kutoka Tanzania kufikisha Points KUMI NA TATU (13) ktk Group Stage ya Mashindano ya Vilabu Africa [emoji122][emoji122]
Heshma kwenu Wachezaji na Benchi la Ufundi kwa Rekodi hii kuwekwa,Thanks Viongozi,Wanachama na Washabiki wetu,mmeletea heshma mpya katika
football ya Tanzania
Hawa ndio Yanga sasa na Sisi ndio Wananchi". Umoja wa wachambuzi TZ
Baada ya makolo kuliaibisha taifa ....hatimaye .Yanga waliokoa taifa
NB: mkinuna .....naleta ushaidi View attachment 2574237
Utofauti uliopo Sisi Yanga na wengine timu Pinzani kufungwa bila kupuliza madawa vyumbani, kuhonga marefa, kufanya mambo ya kishirikina Hadharani na kupelekea kupigwa faini na mamlaka za soka Africa.Haijawahi Team yoyote, narudia Team yoyote kutoka Tanzania kufikisha Points KUMI NA TATU (13) ktk Group Stage ya Mashindano ya Vilabu Africa
Kwa kweli uto vichwa sijui huwa vinawaza nn
Wana akili basi hao bloangu,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hakika mna stahili pongezi [emoji23][emoji23]View attachment 2574241
Mlimaliza Kwa point ngapiAkili za masai koko!!
Utopolo wenye akili ni wawili tu!!
Kile kilichofanywa na Simba 2020 mbele ya Al Ahyl, As Vita na Al Merrekh na kumaliza kundi ikiongoza wanautopolo mmekisahau?
Hebu tuambie simba iliongoza kundi ikiwa na point ngapi?
Yaan timu ziko champion ligi unaziita dhaifu? Timu zinakwenda kucheza super ligi ziwe dhaifu raja simba horoya... manara anasema wenye akili ni 2 tu huko...Hizo points kazipata Kwa timu Gani
a) Dhaifu ?
b) dhaifu kidogo?
c) Dhaifu sana?
Tofauti nyingine. ....Yanga anapiga Hadi ugeniniUtofauti uliopo Sisi Yanga na wengine timu Pinzani kufungwa bila kupuliza madawa vyumbani, kuhonga marefa, kufanya mambo ya kishirikina Hadharani na kupelekea kupigwa faini na mamlaka za soka Africa.
Yaani soka saaafi, una enjoy alafu Wala haturingi[emoji3][emoji3][emoji3]
Rudi juu kuna majibu yashatolewa mleta uzi kaumbukaMlimaliza Kwa point ngapi
Shikiriko kuna mwaka kunakuwaga kwa moto kama champions league tu. Mwaka huu shirikisho imejaa timu dhaifu sana. Mwaka jana huko kulikuwa na vigogo kama Simba, Pirates, Berkane, Pyramids.Hizo points kazipata Kwa timu Gani
a) Dhaifu ?
b) dhaifu kidogo?
c) Dhaifu sana?
Achana nae huyo. Wameleta bandiko lao na hoja feki ya toka kwa MTALIKIWA sasa wanataka kuhamisha magoli.Yaan timu ziko champion ligi unaziita dhaifu?
Mkileta mambo ya rekodi kuna rekodi kubwa kuliko Simba kuwapiga uto sita mtungi (6-0)???Jifunzeni Kwa wananchi mkuu