Ni Yanga tu: Haijawahi tokea timu kufikisha point 13

Ni Yanga tu: Haijawahi tokea timu kufikisha point 13

Record Ya Taifa [emoji122]
Record Ya Tanzania[emoji120]

Haijawahi Team yoyote, narudia Team yoyote kutoka Tanzania kumfunga MAZEMBE nje ndani


RECORD
Ni Timu tatu pekee Afrika zilizomfunga TP Mazembe ndani nje kwenye michuano ya CAF
2021, Mamelod Sundowns, Afrika Kusini
2023, US Monastri, Tunisia
2023, Yanga Africans, Tanzania. Na kufikisha Points KUMI NA TATU (13) ktk Group Stage ya Mashindano ya Vilabu Africa [emoji122][emoji122]

Heshma kwenu Wachezaji na Benchi la Ufundi kwa Rekodi hii kuwekwa,Thanks Viongozi,Wanachama na Washabiki wetu,mmeletea heshma mpya katika
football ya Tanzania
Hawa ndio Yanga sasa na Sisi ndio Wananchi". Umoja wa wachambuzi TZ



Baada ya makolo kuliaibisha taifa ....hatimaye .Yanga waliokoa taifa

NB: mkinuna .....naleta ushaidi View attachment 2574237
Mpumbavu kabisa utakuwa umezaliwa mwaka JANA
edgarkibwana_1680518010320176.jpg
 
Utopolo united kiukweli sina hakika kama hata hao wawili bado ziko sawa.

Huyohuyo z3ruz3ru miaka miwili tu imepita aliipongeza simba sc kwa kumaliza kundi ikiwa kinara kwa point 13 na faida ya magoli 7 CAFCL akifuatiwa na Al ahly, As vita na Al Merikh.

Leo anawahamasisha mshangilie record mpya? Very stupid!

Jf, hebu kuweni serious dhidi ya upotoshaji kama huu.
 
Utopolo united kiukweli sina hakika kama hata hao wawili bado ziko sawa.

Huyohuyo z3ruz3ru miaka miwili tu imepita aliipongeza simba sc kwa kumaliza kundi ikiwa kinara kwa point 13 na faida ya magoli 7 CAFCL akifuatiwa na Al ahly, As vita na Al Merikh.

Leo anawahamasisha mshangilie record mpya? Very stupid!

Jf, hebu kuweni serious dhidi ya upotoshaji kama huu.
 
Record Ya Taifa [emoji122]
Record Ya Tanzania[emoji120]

Haijawahi Team yoyote, narudia Team yoyote kutoka Tanzania kumfunga MAZEMBE nje ndani


RECORD
Ni Timu tatu pekee Afrika zilizomfunga TP Mazembe ndani nje kwenye michuano ya CAF
2021, Mamelod Sundowns, Afrika Kusini
2023, US Monastri, Tunisia
2023, Yanga Africans, Tanzania. Na kufikisha Points KUMI NA TATU (13) ktk Group Stage ya Mashindano ya Vilabu Africa [emoji122][emoji122]

Heshma kwenu Wachezaji na Benchi la Ufundi kwa Rekodi hii kuwekwa,Thanks Viongozi,Wanachama na Washabiki wetu,mmeletea heshma mpya katika
football ya Tanzania
Hawa ndio Yanga sasa na Sisi ndio Wananchi". Umoja wa wachambuzi TZ



Baada ya makolo kuliaibisha taifa ....hatimaye .Yanga waliokoa taifa

NB: mkinuna .....naleta ushaidi View attachment 2574237
Wewe Ni kiazi mbatata.

Unaoanzisha Uzi kwa kujiamini kanisa Yan!

Duuuh! Kweli wee andazi!
 
Mangungu alisema sisi mashabiki wa makolo ni MBU MBU MBU[emoji1]
Baada ya kupata aibu unakimbia hoja yako unajitekenya na kucheka mwenyewe. Unaruka ruka km maharage kwenye sufuria.

Kwahiyo Manara akishasema uto mnabeba km gunia la msumari.


JK alishawai kusema AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO.
 
Utopolo united kiukweli sina hakika kama hata hao wawili bado ziko sawa.

Huyohuyo z3ruz3ru miaka miwili tu imepita aliipongeza simba sc kwa kumaliza kundi ikiwa kinara kwa point 13 na faida ya magoli 7 CAFCL akifuatiwa na Al ahly, As vita na Al Merikh.

Leo anawahamasisha mshangilie record mpya? Very stupid!

Jf, hebu kuweni serious dhidi ya upotoshaji kama huu.
Akili za Mbu mbu mbu
 
Baada ya kupata aibu unakimbia hoja yako unajitekenya na kucheka mwenyewe. Unaruka ruka km maharage kwenye sufuria.

Kwahiyo Manara akishasema uto mnabeba km gunia la msumari.


JK alishawai kusema AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO.
Pole sana mkuu....umbu mbu mbu sio level yako
 
Back
Top Bottom