Halafu hii ilikuwa CAFCL na sio loosers cup.Hakika mna stahili pongezi [emoji23][emoji23]View attachment 2574241
Si mmeuliza timu gani imefikisha pointi 13!? Jibu hulitaki!? Unataka nini sasa. Punguzeni upumbavu Aisee!Unaongelea historia....sisi tupo current
Huyo Vipers aliyekutafuna kwenye siku yako hapa Dsm.Kumfunga vipers......sisi MAKOLO tunaona tupo vizuri.....
Hikika mkikutana na mamelod mtakimbia uwanjani
Mpumbavu kabisa utakuwa umezaliwa mwaka JANARecord Ya Taifa [emoji122]
Record Ya Tanzania[emoji120]
Haijawahi Team yoyote, narudia Team yoyote kutoka Tanzania kumfunga MAZEMBE nje ndani
RECORD
Ni Timu tatu pekee Afrika zilizomfunga TP Mazembe ndani nje kwenye michuano ya CAF
2021, Mamelod Sundowns, Afrika Kusini
2023, US Monastri, Tunisia
2023, Yanga Africans, Tanzania. Na kufikisha Points KUMI NA TATU (13) ktk Group Stage ya Mashindano ya Vilabu Africa [emoji122][emoji122]
Heshma kwenu Wachezaji na Benchi la Ufundi kwa Rekodi hii kuwekwa,Thanks Viongozi,Wanachama na Washabiki wetu,mmeletea heshma mpya katika
football ya Tanzania
Hawa ndio Yanga sasa na Sisi ndio Wananchi". Umoja wa wachambuzi TZ
Baada ya makolo kuliaibisha taifa ....hatimaye .Yanga waliokoa taifa
NB: mkinuna .....naleta ushaidi View attachment 2574237
Simbaaaaaa nakupenda sana timu yangu...Hakika mna stahili pongezi [emoji23][emoji23]View attachment 2574241
Wewe Ni kiazi mbatata.Record Ya Taifa [emoji122]
Record Ya Tanzania[emoji120]
Haijawahi Team yoyote, narudia Team yoyote kutoka Tanzania kumfunga MAZEMBE nje ndani
RECORD
Ni Timu tatu pekee Afrika zilizomfunga TP Mazembe ndani nje kwenye michuano ya CAF
2021, Mamelod Sundowns, Afrika Kusini
2023, US Monastri, Tunisia
2023, Yanga Africans, Tanzania. Na kufikisha Points KUMI NA TATU (13) ktk Group Stage ya Mashindano ya Vilabu Africa [emoji122][emoji122]
Heshma kwenu Wachezaji na Benchi la Ufundi kwa Rekodi hii kuwekwa,Thanks Viongozi,Wanachama na Washabiki wetu,mmeletea heshma mpya katika
football ya Tanzania
Hawa ndio Yanga sasa na Sisi ndio Wananchi". Umoja wa wachambuzi TZ
Baada ya makolo kuliaibisha taifa ....hatimaye .Yanga waliokoa taifa
NB: mkinuna .....naleta ushaidi View attachment 2574237
Yaani ukaanzisha na Uzi kabisa kwamba haijawahi.Kabisa mkuu....taifa lipo mikono salama
Kuwa na aibu hata kidogo Basi kwa uelewa wako mdogo.Sisi MAKOLO tumpigie mudi magoti......alete sajili nzuri
Baada ya kupata aibu unakimbia hoja yako unajitekenya na kucheka mwenyewe. Unaruka ruka km maharage kwenye sufuria.Mangungu alisema sisi mashabiki wa makolo ni MBU MBU MBU[emoji1]
Akili za Mbu mbu mbuUtopolo united kiukweli sina hakika kama hata hao wawili bado ziko sawa.
Huyohuyo z3ruz3ru miaka miwili tu imepita aliipongeza simba sc kwa kumaliza kundi ikiwa kinara kwa point 13 na faida ya magoli 7 CAFCL akifuatiwa na Al ahly, As vita na Al Merikh.
Leo anawahamasisha mshangilie record mpya? Very stupid!
Jf, hebu kuweni serious dhidi ya upotoshaji kama huu.
Pole sana mkuu....umbu mbu mbu sio level yakoBaada ya kupata aibu unakimbia hoja yako unajitekenya na kucheka mwenyewe. Unaruka ruka km maharage kwenye sufuria.
Kwahiyo Manara akishasema uto mnabeba km gunia la msumari.
JK alishawai kusema AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO.