Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,264
- 10,535
Kwa mantiki hiyo hata Sukari na vitu vyenye Sukari hatutakiwi kutumiaNaomba nikurekebishe kidogo hapo kwani maulamaa wamekubaliana kuwa kama utakufa kwa huo moshi yaani upate cancer kwa ajili ya sigara au maradhi yaliyosababisha na sigara na ukafa
Adhabu yake ni kubwa kama umejiuwa
Wameliongelea sana hili na pia ni israf kwa maana matumizi mabaya ya pesa
Hapo sasa unachanganya sanaKwa mantiki hiyo hata Sukari na vitu vyenye Sukari hatutakiwi kutumia
Lakini Sukari ni silent killer sidhani kama madhara yake yanapishana sana na sigara,Hapo sasa unachanganya sana
Sigara sio kitu cha muhimu kwa binadamu bali ni starehe ndio maana huoni baba anakuja na paketi anawagawia wote nyumbani mpaka watoto [emoji1]
Ila Sukari ni kiungo shehe
Ni sawa na pombe huwezi kusema ukitumia kwa kuungia mboga ni halali
Unajua maana ya makruh?Kuvuta sigara sio dhambi ila ni makhuruh yaan ni karaha unawakaraisha wengine na zaidi ni hatari kwa afya yako... Udi na Ubani havina shida yoyote pia sijawahi kusikia Mtu anavuta Udi/Ubani
Kweli kabisaLakini Sukari ni silent killer sidhani kama madhara yake yanapishana sana na sigara,
Ndio maana wakasema Sigara inakaraisha Watu ile mimoshi na pengine harufu lakini ukasema uharamu unakuja pale madhara ya sigara yanapotokea mfano Kansa ndio maana nikauliza vipi kuhusu Sukari? Sababu na yenyewe ina madhara ya moja kwa moja
So bila shaka, wewe ni quraaniyyuun si ndio?.Sheikh hii dini Mimi naisoma tangu 1997,nimesomeshwa Kisha nikaisoma na naendelea kuisoma,mtume saw,swahaba,tabiina,tabii tabiina...vizazi vingapi hivyo!?..hapo mambo yapo oral tu mpaka bukhari na Muslim walipocompile!!.. narration yenyewe ni utapeli tu,kwamba imepokewa kutoka kwa a,kwamba b alimsikia c akisema kuwa mtume wa Allah alisema desh desh,halafu unaifanya fatwa!!!..?..Hadith ndo zinasema mzinzi mwanandoa auawe,mlevi apgwe bakora,mtoto wako wa nje ya ndoa unaweza oa,mtu akiritadi auawe,nabii ISSA atarudi,mwanamke akiwa hedhi hatakiwi kufunga,haya yote kwenye Qur'an hayapo!!..so bukhari na Muslim ndiyo Qur'an yenu
Quraaniyyuni ndiyo nini!?So bila shaka, wewe ni quraaniyyuun si ndio?.
Kuna dhambi kubwa na ndogoSidhani kama dhambi zote ni sawa in normal sense
Mtu aliyebaka mama yake Kisha akamchinja na mtu aliyevunja kioo kwa makusudi Kisha akakimbia
Kuna dhambi ni ngumu kuliko nyenzake tuache kufarijiana humu
We unakojoa tu Kama kondoo!!Nendeni mkajafiliane huko madrasa dhambi ya kurukiwa na mkojo. Hapa tupo watu tusiohusika na taduni hizo
Ndio na hakijawa kitu. Nina afya njema kuliko wewe, nomefanikiwa kuliko wewe, Nina huruma, utu na ubinaadamu kuliko wewe na nipo karibu na Mungu kuliko wewe. Wewe endelea kukojoa kwa mawe utarajie kwenda mbinguniWe unakojoa tu Kama kondoo!!
Hata ukitembea na kinyesi utakua tu na afya kuliko Mimi,utakua umefanikiwa kuliko Mimi,utakua na huruma kuliko Mimi...na utakua karibu na mungu wako kuliko mimiNdio na hakijawa kitu. Nina afya njema kuliko wewe, nomefanikiwa kuliko wewe, Nina huruma, utu na ubinaadamu kuliko wewe na nipo karibu na Mungu kuliko wewe. Wewe endelea kukojoa kwa mawe utarajie kwenda mbinguni
Huo upuuzi wa kiislamuDhambi soma hapo imeandikwa na unapigwa bakora 80 ukikutwa, Ila Sigara wewe na raha zako sio dhambi na ukivuta wala haupigwi bakora Ila tu usiwaudhi watu na ile mimoshi (mukhruh),
Nani aliwadanganya kuwa kinyesi ni dhambi? Tatizo la kufuata mafundisho ya mtu ambaye hakusoma na tafsiri yake inakuwa ya kienyeji enyeji.Hata ukitembea na kinyesi utakua tu na afya kuliko Mimi,utakua umefanikiwa kuliko Mimi,utakua na huruma kuliko Mimi...na utakua karibu na mungu wako kuliko mimi
Nani kasema kinyesi ni dhambi!?..we msomi wa chuo kikuu ndivyo uelewa wako ulivyo!?Nani aliwadanganya kuwa kinyesi ni dhambi? Tatizo la kufuata mafundisho ya mtu ambaye hakusoma na tafsiri yake inakuwa ya kienyeji enyeji.
Muislamu yeyote atakayesema binadamu wa kale (before Christ) walikua waislamu nitakuonyesha hii comment.Wewe una viashiria ukafiri ,,Aya zimekuja nyingi zinazoamrisha kumtii Allah na mtume wake,,ama kusema Mimi naifuata Quran na hadithi sizitaki huo ni ukafiri,,..
Abubakr,Omar ,Othman na Ali ndio vipenzi vya mtume vya Karibu kabisa kwa maana wao ndio wa Mwanzo kuukubali uislamu,,
Huo uislamu mnaousimika nyinyi mashia Bila Maswahaba Ni Ubatili mtupu..
Watu wa bid'aa mna tabu sana tena sanaaaUko outdated,google authenticity of bukhari and Muslim,Kisha fuatilia mijadala,ni Kama suala la kufunga mwezi kwa kuuona au uandame popote lilivyoanza kwa hapa tz,lilianza 1980s,Leo ndiyo lipo hadhiri,miaka 50 mbele bukhari na Muslim au source ya Hadith ya dhehebu lolote lile litakua na wapingaji wengi
Bidaa ni wewe na wenzio mnaozua mambo kwenye dini,ya kuvaa njiwa,kufunga ndevu,kuvaa niqab na kuyafanya faradhi kwamba atayeenda kinyume na hivyo motoni..na Wala Qur'an isisemeWatu wa bid'aa mna tabu sana tena sanaaa
kasome surat baqarah ayah ya 195Kuvuta sigara sio dhambi ila ni makhuruh yaan ni karaha unawakaraisha wengine na zaidi ni hatari kwa afya yako... Udi na Ubani havina shida yoyote pia sijawahi kusikia Mtu anavuta Udi/Ubani